Nigeria (8)
-
DuniaMatumaini ya Sheikh Zakzaky Kuhusiana na Kuenea Amani Duniani
Hawza/ Sheikh Ibrahim Zakzaky, kiongozi wa Harakati ya Kiislamu nchini Nigeria, jana alikutana na kundi la machifu na viongozi wa makabila ya kaskazini mwa nchi hiyo na kufanya nao mazungumzo.
-
DuniaKatika nchi hii ya Kiafrika, mshikamano na watu wanyonge wa Palestina na ziara ya Atabati Tukufu huonekana kama kosa
Hawza/ Baada ya kupita miezi kadhaa tangia maandamano ya amani ya Siku ya Quds nchini Nigeria ambayo yalivamiwa kwa ukatili mkubwa na majeshi yenye silaha ya Nigeria na kwa masikitiko makubwa…
-
DuniaSherehe za Wiki ya Umoja nchini Nigeria
Hawza / Sherehe na hotuba zenye maudhui ya kuadhimisha Wiki ya Umoja na kumbukumbu ya kuzaliwa kwa Mtume Mtukufu Muhammad (swww) pamoja na Imam Ja‘far al-Sadiq (as) zinafanyika kote nchini Nigeria…
-
DuniaUwepo wa kuvutia wa mazuwari wa Nigeria katika matembezi ya Arubaini ya Imam Husein (as)
Hawza/ Kikosi cha mazuwari wa kinigeria, kutokana na juhudi za Harakati ya Kiislamu ya Nigeria, kimeshiriki kwenye matembezi ya Arubaini.
-
DuniaKiongozi wa Harakati ya Kiislamu Nigeria akukutana na Kundi la wasanii
Hawza/ Kundi la wasanii kutoka Nigeria limekutana na kiongozi wa Harakati ya Kiislamu Nigeria, Sayyid Ibrahim Zakzaky, huko Abuja.
-
HawzaNigeria yaandaa hafla ya kumbukumbu ya mashahidi waliopata shahada kwa ajili ya kuwahudumia wananchi
Hawza/ Harakati ya Kiislamu nchini Nigeria inayoongozwa na Sheikh Ibrahim Zakzaky iliandaa hafla ya kumbukumbu ya kufikia mwaka mmoja wa mashahidi wa ajali ya ndege iliyotokea mwezi Mei, siku…
-
DuniaSheikh Ibrahim Zakzaky aomba kuachiliwa huru wafungwa wa kisiasa nchini Nigeria
Hawza/ Sheikh Sayyid Ibrahim Zakzaky amekutana na baadhi ya watu waliokuwa wamefungwa kwa muda wa miaka sita lakini hatimaye wameachiwa huru baada ya kufutiwa mashtaka.
-
DuniaHijabu nchini Nigeria yateka vyombo vya Habari
Hawza/ Bi Hamda Adenike alishindwa kushiriki katika kikao cha mtihani wa taasisi ya kielimu kwa sababu ya kuwa na hijabu.