Nigeria (14)
-
Sheikh Zakzaky:
DuniaLengo la Harakati ya Kiislamu ya Nigeria ni kuitumikia jamii kwa ikhlasi
Hawza/ Sheikh Ibrahim Zakzaky, kiongozi wa Harakati ya Kiislamu ya Nigeria, amesisitiza kwamba; shughuli za vitengo mbalimbali vya harakati hiyo kwa hakika zinafanyika kwa ajili ya “kuokoa na…
-
Sheikh Ibrahim Zakzaky:
DuniaUlimwengu leo hii unahitajia kurejea fikra za Imaam Khomein (ra)
Hawza/ Kiongozi wa Harakati ya Kiislamu ya Nigeria amesema kuwa dunia ya leo inahitaji kurejea katika fikra za Imam (r.a.)
-
DuniaKongamano la uhamasishaji kuhusu mafanikio ya Imam Khomeini (r.a.) nchini Nigeria
Hawza/ Katika mwendelezo wa ratiba za wiki ya kumbukumbu ya Imam Khomeini (r.a.), Jukwaa la Wasomi wa Vyuo Vikuu na Wahadhiri (Academic Forum) la Harakati ya Kiislamu chini ya uongozi wa Sheikh…
-
Sheikh Ibrahim Zakzaky:
DuniaMapenzi kwa Ahlul-Bayt (a.s.) si madai tu, bali ni vitendo na kujitolea
Hawza/ Kiongozi wa Harakati ya Kiislamu ya Nigeria, huku akirejelea nafasi ya juu ya Ahlul-Bayt (a.s.), alisisitiza: Mapenzi kwa Ahlul-Bayt (a.s.) si madai ya maneno tu, bali ni kufuata kwa vitendo…
-
DuniaKongamano lenye Mhimili wa Fikra za Imam Khomeini (ra) kufanyika nchini Nigeria
Hawza/ “Jukwaa la Kielimu la Harakati ya Kiislamu” (AFIM) nchini Nigeria, chini ya uongozi wa Sheikh Ibrahim Yaqub Zakzaky, limetangaza kufanyika kwa duru ya thelathini na saba ya “Wiki ya Imam”…
-
Ujumbe wa kufunga kongamano la vijana wa Fentua nchini Nigeria:
DuniaNi mwanadamu aliyejirekebisha pekee ndiye anayeweza kurekebisha wengine
Hawza/ Baraza la Vijana wa Harakati ya Kiislamu chini ya uongozi wa Sheikh Sayyid Ibrahim Yaqub Zakzaky katika eneo la Fentua (eneo la Sayyid Zakzaky), limefanya mkusanyiko wa kielimu na kitamaduni…
-
Sheikh Ibrahim Zakzaky:
DuniaKufikisha ujumbe wa dini kupitia tabia na vitendo ni muhimu zaidi kuliko hotuba
Hawza/ Kongamano la tatu la “Kamati ya Malezi na Ulinganiaji” kwa uwepo wa Ibrahim Zakzaky nchini Nigeria lilihitimisha shughuli zake.
-
DuniaSheikh Ibrahim Zakzaky: Uislamu uko juu ya ukabila na rangi
Hawza/ Kongamano la pili la “Umoja wa Washairi” limehitimishwa kwa hotuba ya Sheikh Ibrahim Zakzaky katika mji wa Abuja.
-
DuniaMahufadhi wa Qur’ani Tukufu nchini Nigeria waliadhimisha kumbukumbu ya wanafunzi mashahidi wa Minab
Hawza/ Harakati ya Kiislamu chini ya uongozi wa Ibrahim Yaqoub Zakzaky iliandaa hafla ya toleo la kumi na tano ya sherehe ya kuhifadhi Qur’ani Tukufu. Katika hafla hiyo, zaidi ya wanafunzi mia…
-
DuniaChuo cha kwanza cha Qur’ani chaanzishwa katika mji wa Katsina nchini Nigeria
Hawza/ Chuo cha kwanza cha kuhifadhi Qur’ani kwa utaalamu na usomaji wa kitaalamu katika ngazi za juu kimeanzishwa katika mji wa Katsina uliopo nchini Nigeria.
-
DuniaMatumaini ya Sheikh Zakzaky Kuhusiana na Kuenea Amani Duniani
Hawza/ Sheikh Ibrahim Zakzaky, kiongozi wa Harakati ya Kiislamu nchini Nigeria, jana alikutana na kundi la machifu na viongozi wa makabila ya kaskazini mwa nchi hiyo na kufanya nao mazungumzo.
-
DuniaKatika nchi hii ya Kiafrika, mshikamano na watu wanyonge wa Palestina na ziara ya Atabati Tukufu huonekana kama kosa
Hawza/ Baada ya kupita miezi kadhaa tangia maandamano ya amani ya Siku ya Quds nchini Nigeria ambayo yalivamiwa kwa ukatili mkubwa na majeshi yenye silaha ya Nigeria na kwa masikitiko makubwa…
-
DuniaSherehe za Wiki ya Umoja nchini Nigeria
Hawza / Sherehe na hotuba zenye maudhui ya kuadhimisha Wiki ya Umoja na kumbukumbu ya kuzaliwa kwa Mtume Mtukufu Muhammad (swww) pamoja na Imam Ja‘far al-Sadiq (as) zinafanyika kote nchini Nigeria…
-
DuniaUwepo wa kuvutia wa mazuwari wa Nigeria katika matembezi ya Arubaini ya Imam Husein (as)
Hawza/ Kikosi cha mazuwari wa kinigeria, kutokana na juhudi za Harakati ya Kiislamu ya Nigeria, kimeshiriki kwenye matembezi ya Arubaini.