Maulidi ya kitaifa (5)
-
DuniaPicha/ Maulidi ya Kitaifa yafanywa na Jumuiya ya Shia ithnaasharia Tanzania (TIC)
Hawza/ Jumuiya ya Shia ithnaasharia Tanzania (TIC), ikishirikiana na Hawza ya Imaam Sw'adiq (as), chini ya usimamizi wa Samaht Sheikh Jalala Hemedi Mwakindenge, usiku wa kuamkia leo zimeadhimisha…
-
Duniapicha/ Hafla ya Maulidi ya kuzaliwa Mtume (saw) yafanyika katika kituo cha J'amiatul-Mustafa nchini Tanzania
Hawza/ Kituo cha J'amiatul-Mustafa nchini Tanzania chini ya usimamizi wa Dkt. Aly Taqawi, Raisi na mwakilishi wa J'amiatul-Mustafa nchini Tanzania, kimefanya maadhimisho ya hafla ya Maulidi ya…
-
DuniaPicha/ Hafla ya Maulidi Kitaifa yafanyika Mkoani Tanga, Mashia waonesha umoja na mshikamano usio na kifani
Hawza/ Sherehe ya Maulidi ya Kitaifa nchini Tanzania imefanyika usikubwa kuamkia leo Mkoani Tanga katika Wilaya ya Korogwe, huku viongozi Mashuhiri wakihudhuria katika hafla hiyo, na wafuasi…
-
DuniaTanzania Ithnaasharia Community (TIC) yatangaza Maulidi ya Mtume Muhammad (saw) ya Mwaka huu
Hawza/ Tanzania Ithnaasharia Community ikishirikiana na Hawza ya Imaam Sw'adiq (as) wametoa tangazo rasmi la Maulidi ya Mtume Muhammad (saw) mwaka huu wa 2025
-
Mufti wa Tanzania atangaza:
DuniaMaulidi ya Kitaifa Mwaka huu kufanyikia Mkoani Tanga
Hawza/ Maulidi ya kitaifa mwaka huu wa 2025 yamepangwa kufanyika Mkoani Tanga, katika wilaya ya Korogwe kwenye viwanja vya Shule ya Mazoezi Manundu