Imam Khomein (5)
-
DuniaMjumbe wa Kikundi cha Muqawama: Sisi kwa hakika tunayahitaji mno mawazo na mtazamo wa Imam Musa Sadr ili kukabiliana na adui wa Kizayuni na maadui wa ndani
Hawza/ Jumuiya ya Vituo vya Kiutamaduni vya Imam Khomeini imeadhimisha kumbukumbu ya kupotea kwa Imam Musa Sadr pamoja na wenzake wawili katika makao yake makuu mjini Sur.
-
DuniaAmmar Hakim: Iran ni ngome iliyopo mstari wa mbele katika ulimwengu wa Kiislamu
Hawza/ Kiongozi wa Harakati ya Hikmat ya Kitaifa ya Iraq, alipo hudhuria katika Haram Tukufu ya Imam Khomeini (r.a), alimpa heshima mwanzilishi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.
-
DiniMapumziko na matembezi kwa mtazamo wa Imam Khomeini (ra)
Hawza/ Ayatollah Mirza Jawad Agha Tahrani (ra), mmoja wa mauraf'a na miongoni mwa mafaqihi wa Kishia, katika kisa kimoja cha kipindi chake cha masomo katika Hawza ya kielimu ya Qom, alisimulia…
-
Ayatollah al-‘Udhma Nouri Hamadānī:
HawzaImani ya Imam Khomeini ilikuwa kwamba “Mapinduzi ya Kiislamu ni utangulizi wa kudhihiri kwa Imam wa zama (aj)”
Hawzah/ Ayatollah Nouri hamadan amesema: Imam (ra) mara nyingi alikuwa akisisitiza kwamba, “Kile kilichoanzishwa kwa njia ya harakati na Mapinduzi haya, hakiwezi kuzimwa wala kumalizika, na ni…
-
Jumuiya ya Walimu wa Hawza ya Qom (Jamiatul Mudarrisin):
HawzaMapenzi kwa Imam Khomeini (r.a.) bila kumtii Kiongozi wa dini (walii faqih) ni madai ya uongo
Leo hii Kiongozi mwenye busara wa Mapinduzi amezishika kwa mikono yake fikra zenye nuru za Imam adhimu na anawaalika wote kushikamana na malengo ya Imam na Mapinduzi. Mapenzi kwa Imam bila kumtii…