Hawza/ Jumuiya ya Vituo vya Kiutamaduni vya Imam Khomeini imeadhimisha kumbukumbu ya kupotea kwa Imam Musa Sadr pamoja na wenzake wawili katika makao yake makuu mjini Sur.
Hawza/ Kiongozi wa Harakati ya Hikmat ya Kitaifa ya Iraq, alipo hudhuria katika Haram Tukufu ya Imam Khomeini (r.a), alimpa heshima mwanzilishi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.
Hawza/ Ayatollah Mirza Jawad Agha Tahrani (ra), mmoja wa mauraf'a na miongoni mwa mafaqihi wa Kishia, katika kisa kimoja cha kipindi chake cha masomo katika Hawza ya kielimu ya Qom, alisimulia…
Hawzah/ Ayatollah Nouri hamadan amesema: Imam (ra) mara nyingi alikuwa akisisitiza kwamba, “Kile kilichoanzishwa kwa njia ya harakati na Mapinduzi haya, hakiwezi kuzimwa wala kumalizika, na ni…
Leo hii Kiongozi mwenye busara wa Mapinduzi amezishika kwa mikono yake fikra zenye nuru za Imam adhimu na anawaalika wote kushikamana na malengo ya Imam na Mapinduzi. Mapenzi kwa Imam bila kumtii…