Hijabu (5)
-
Kwa Mnasaba wa Siku ya Kumuadhimisha Mulla Sadra; Mtazamo juu ya Maisha na Mafanikio ya Mwanamke wa Kwanza Mfilosofia wa Kike wa Iran
HawzaTuuba Kermani; Mwanamke Mfilosofia wa Iran na Kielelezo cha Mwanamke Muislamu katika Nyanja ya Elimu na Maadili
Hawza/ Dkt. Tuuba Kermani, Profesa Mstaafu wa Kitivo cha Theolojia na Maarifa ya Kiislamu katika Chuo Kikuu cha Tehran, kupitia jitihada zake za kielimu na malezi, si tu aling’ara katika uwanja…
-
DuniaHijabu nchini Nigeria yateka vyombo vya Habari
Hawza/ Bi Hamda Adenike alishindwa kushiriki katika kikao cha mtihani wa taasisi ya kielimu kwa sababu ya kuwa na hijabu.
-
DuniaWaziri wa Mambo ya Ndani wa Ufaransa ataka hijabu ipigwe marufuku vyuoni
Waziri wa Mambo ya Ndani wa Ufaransa, Bruno Retailleau, jana alitangaza kuwa ana azma ya kuzuia uvaaji wa hijabu katika vyuo vikuu.
-
DuniaKitendo cha kupiga marufuku Hijabu, ni ishara tosha ya kupuuzwa kwa haki za wanawake
Kufuatia kuongezeka kwa chuki dhidi ya uislamu, Bi Bayraktar, mjumbe wa bodi ya Wanawake na Demokrasia, amesema: kupigwa marufuku mavazi ya dini kama vile hijabu kumewafanya wanawake waislamu…
-
DuniaWanamichezo wakosoa mpango wa Ufaransa kupiga marufuku Hijabu katika mashindano
Wanamichezo wanawake wa Kiislamu nchini Ufaransa wamejitokeza kupinga muswada mpya wa sheria unaolenga kupiga marufuku uvaaji wa Hijabu katika mashindano ya michezo ya kitaifa, wakisema hatua…