BAKWATA (4)
-
DuniaBAKWATA yafunga Jalada la Singida/ Kilichobakia sasa ni utendaji tu
Hawza/ Baraza Kuu la Waislamu Tanzania (BAKWATA) mkoa wa Singida limehitimisha rasmi mchakato wa uchaguzi wake mkuu, hatua iliyofunga rasmi jalada la uchaguzi katika mkoa huo baada ya kukamilika…
-
DuniaSheikh Mataka awasili Singida kwa lengo la kusimamia Uchaguzi Mkuu wa BAKWATA
Hawza/ Mji wa Singida leo umeshuhudia tukio muhimu kwa Waislamu wa mkoa huo, baada ya Mwenyekiti wa Halmashauri Kuu ya BAKWATA Taifa, Alhaj Sheikh Khamis Mataka, kuwasili rasmi kwa ajili ya kusimamia…
-
DuniaUchaguzi Mkuu wa BAKWATA Wilaya, Singida: Wilaya zote zapata viongozi wapya
Hawza/ Siku ya Jumatatu sawa na tareh 29.9.2025 – Uchaguzi mkuu wa BAKWATA mkoa wa Singida umefanikiwa kufanyika katika wilaya zote saba, ambapo wenyeviti wapya wamechaguliwa kushika nafasi za…
-
DuniaUzinduzi Rasmi wa Kitabu cha Miaka Kumi ya Mufti wa Tanzania Wafanyika
Hawza/ Mufti wa Tanzania Sheikh Abuubakar Zubeir Ally Mbwana, aliandaliwa tafrija ndogo ambayo iliambatana na uzinduzi wa kitabu cha miaka kumi ya utumishi wake tangia kukabidhiwa kijiti cha…