Ataba Tukufu ya Husseini (6)
-
Mkurugenzi wa Ataba Tukufu ya Imam Hussein (as):
DuniaHarakati ya Imam Hussein (as) ni mradi wa milele wa kupambana na dhulma
Hawza/ Hassan Rashid Jawad Al-Abayiji, amesisitiza kuwa; kadhia ya Palestina leo ndio dhihirisho hai la mwendelezo wa ujumbe wa Imam Hussein (as) wa kuwanusuru wanaodhulumiwa na kuutetea ukweli.
-
DuniaMazishi ya Mamilioni ya Watu ya Kiongozi Shahidi Yaonesha Nguvu ya Ushawishi na Kushindwa kwa Mradi wa Maadui wa Kuleta Mgawanyiko
Hawza/ Mkurugenzi wa Kituo cha Masuala ya Kifikra na Kiutamaduni cha Ataba Tukufu ya Imam Hussein (as) mjini Karbala amesema kuwa; mazishi makubwa yaliyohudhuriwa na mamilioni ya watu nchini…
-
Mwakilishi wa Ayatullah Sistani:
DuniaHeshima ya Kumhudumia Imam Hussein (as) Hukamilika kwa Kushikamana na Njia ya Ahlul-Bayt (as)
Hawza/ Hujjatul-Islam wal-Muslimin Sheikh Abdul Mahdi Karbalai amesisitiza kuwa; kumhudumia Imam Hussein (as) hakuishii katika kutekeleza majukumu ya kazi pekee, bali hukamilika kwa kushikamana…
-
DuniaKongamano la Kimataifa la Qur’ani lafanyika kwa Muda wa Wiki Moja katika Haram ya Imam Hussein (a.s.)
Hawza/ Wiki ya Kimataifa ya Qur’ani Tukufu imeanza katika Haram ya Imam Hussein (a.s.), ikijumuisha Tuzo ya Tano ya Kimataifa ya Karbala. Wawakilishi kutoka nchi 30 wanashiriki katika tukio hili,…
-
DuniaKatika Mwezi wa Ramadhani, Ataba Tukufu ya Husseini husambaza kila siku zaidi ya milo 4,000 ya futari miongoni mwa mazuwari
Hawza/ Ataba Tukufu ya Husseini katika Mwezi Mtukufu wa Ramadhani inaendelea kutoa huduma zake za kibinadamu kwa mazuwari.
-
DuniaMradi mkubwa zaidi wa upanuzi wa Haram ya Imamu Hussein (as) wenye ukubwa wa mita za mraba 330,000 waanza
Hawza/ Idara ya miradi ya maendeleo ya Ataba Tukufu ya Husseini imetangaza sifa za mradi wa uwanja wa Sahn Rasul A’dham (Swalla-Llahu alayhi wa Aalihi wa sallam).