-
Usta'dh Qara’ati mbele ya wanazuoni wa Hawzah:
Dunia“Utaalamu wa dini na uhubiri” ni majukumu mawili makuu ya wanazuoni wa Hawzah/ Tusisome kwa ajili ya kupata “cheti”
Hawza/ Hujatul-Islam wal-Muslimin Muhsen Qara’ati amesema kuwa “taffaquh katika dini na uhubiri” ni majukumu mawili makuu ya wanafunzi na wanazuoni wa Hawzah, akisisitiza kwamba lengo la Hawza…
-
DuniaWaislamu ni nguvu inayochipuka mjini New York
Hawza/ Waislamu ni nguvu inayochipuka mjini New York, na Palestina ina umuhimu mkubwa kwao; jambo ambalo linachukuliwa kuwa kengele ya tahadhari kwa matajiri na Wazayuni.
-
VideoRadi kali kutikana na kuchomwa Qur’ani nchini Italia/ Msisitizo wa kukabiliana na uchochezi wa chuki za kidini
Hawza/ Hatua ya mpinzani wa dini katika mitandao ya kijamii katika jiji la Reggio Emilia nchini Italia ya kuirarua na kisha kuichoma nakala ya Qur’ani Tukufu imekabiliwa na radi amali ya kisiasa…
-
Rais wa Baraza la Wanazuoni wa Kishia Pakistan:
DuniaGhaza ni mtihani mkubwa kwa wanaodai kutetea demokrasia duniani
Hawza/ Hujatul-Islam wal-Muslimin Sayyid Sa'jid Ali Naqvi, katika ujumbe wake wa kuikosoa jumuiya ya kimataifa kwa kunyamazia jinai za utawala wa Kizayuni huko Ghaza, amesisitiza kwamba: Siku…
-
Mjumbe wa Ofisi ya Kisiasa ya Ansarullah:
DuniaJuhudi za Saudi Arabia kutafuta msaada wa utawala wa Kizayuni hazitabadilisha mlingano wa vita vya Yemen
Hawza/ Muhammad Al-Farah, mjumbe wa Ofisi ya Kisiasa ya Ansarullah, amesema kuwa; wananchi wa Yemen hawakuchagua vita wala hawakuvifuata, bali walilazimishwa kuingia katika vita hivyo kutokana…
-
Uongozi wa Husseiniya za Bahrain:
DuniaHatua za serikali zinalenga uhuru wa kutekeleza ibada za kidini za Mashia
Hawza/ Uongozi wa Husseiniya nchini Bahrain umelaani hatua iliyotolewa na taasisi rasmi inayowataka makhatibu, waimbaji na waombolezaji kupata vibali vya awali kabla ya kushiriki katika shughuli…
-
-
DuniaChuo Kikuu cha Marekani chawapiga marufuku wanafunzi wa Kiislamu kuswali
Hawza/ Chuo Kikuu cha Marekani cha New York, katika tawi lake la kampasi ya Lebanon, hivi karibuni kimewapiga marufuku wanafunzi wake wakiislamu kuswali.
-
DuniaViongozi wa Harakati ya Amal na Hizbullah wathibitisha umuhimu wa ushiriki wa kitaifa na ulazima wa Serikali ya Lebanon kubeba majukumu
Hawza/ Viongozi wa Hizbullah na Harakati ya Amal wamefanya mkutano ambapo walijadili maendeleo na matukio ya hivi karibuni nchini Lebanon.