-
DuniaHafla ya Kumbukizi ya Kifo cha Mtume (saww) Yafanyika Dar es Salaam Tanzania + Picha
Hawza/ Waumini wa jijini Dar es Salaam jana tareh 28 Swafar 1448, walikusanyika katika Msikiti wa Ghadiir uliopo Kigogo Post jijini humo, ili kushiriki katika maadhimisho ya Majlisi ya kumbukizi…
-
DuniaWaumini wa Kishia Tanga Waadhimisha Kumbukizi ya Kifo cha Mtume (saww) kwa Matembezi ya Amani + Picha
Hawza/ Katika hali ya huzuni na majonzi makubwa, waumini wa Kishia jijini Tanga wamefanya matembezi ya amani kwa ajili ya kuadhimisha kumbukizi ya kifo cha Mtume Muhammad (saww), huku wakionesha…
-
DuniaZanzibar Yaadhimisha Kumbukizi ya Kifo cha Mtume (saww) kwa Kufanya Matembezi Makubwa ya Huzuni + Picha
Hawza/ Waumini Kishia wa Zanzibar siku ya jana wamejitokeza kwa wingi katika matembezi makubwa ya kuadhimisha kumbukizi ya kifo cha Mtume Muhammad (saww), huku wakihuisha kumbukumbu ya mmoja…
-
DuniaWaumini wa Arusha Tanzania Waadhimisha Kifo cha Mtume (saww) kwa Matembezi ya Amani + Picha
Hawza/ Katika hali ya huzuni, majonzi na kumbukumbu nzito ya kumpoteza Mtume Muhammad (saww), waumini wa Arusha nchini Tanzania wameadhimisha kumbukumbu ya kifo cha Mtume (saww) kwa kufanya matembezi…
-
DuniaMatembezi ya Amani kwa Ajili ya Kumbukizi ya Kifo cha Mtume (saww) Yafanyika Tabora Tanzania + Picha
Hawza/ Tabora, Tanzania — Katika mazingira yaliyojaa huzuni, majonzi na kumbukumbu ya tukio kubwa katika historia ya Uislamu, waumini wa mji wa Tabora nchini Tanzania wamefanya matembezi ya amani…
-
DuniaAyatullah al-Udhma Jawadi Amuli Aelezea Utukufu wa Msiba wa Kufariki Dunia kwa Mtume Mtukufu (saww), Kupitia Maneno ya Amirul Muuminina (as)
Hawza/ Kwa mtazamo wa Amirul Muuminina (as), kufariki dunia Mtume Mtukufu (saww) kuliacha jeraha kubwa katika nyoyo za Umma kiasi kwamba, mbele ya ukubwa wa msiba huo misiba mingine yote hata…
-
Sheikh Zakzaky:
DuniaMtume Mtukufu (saww) Ana Ujumbe wa Uongofu na Njia ya Wokovu kwa Kila Zama
Hawza/ Abuja: Sheikh Ibrahim Zakzaky, kiongozi wa Harakati ya Kiislamu ya Nigeria, huku akisisitiza kwamba ujumbe wa Mtume Mtukufu (saww) kwa kila zama ni ujumbe wa uongofu na njia ya wokovu,…
-
Mwanazuoni Mashuhuri wa Pakistani:
DuniaSira ya Mtume Mtukufu (saww) Ni Kielelezo Kamili cha Rehema, Uadilifu, Maadili na Umoja kwa Wanadamu
Hawza/ Hujjatul-Islam wal-Muslimin Muhammad Hassan Jaafari amesema katika ujumbe wake kwamba: Sira ya Mtume (saww) na Ahlul Bayt (as) haipaswi kuishia katika kuwapenda na kuomboleza tu, bali…
-
Mjumbe Mwandamizi wa Ansarullah ya Yemen:
DuniaMamluki Wasitegemee Kuendelea kwa Vita vya Saudi Arabia
Hawza/ Muhammad Al-Farah, mjumbe wa Ofisi ya Kisiasa ya Ansarullah ya Yemen, ametoa ujumbe kwa wanamgambo na mamluki wanaoiunga mkono Saudi Arabia, akiwataka wasikate njia zao za mawasiliano…
-
Jumuiya ya Haki za Binadamu ya Bahrain Yatoa Tahadhari:
DuniaKuongezeka kwa Mfumo wa Kuwakandamiza Mashia Bahrain; Kuanzia Kufungwa kwa Husainiya 50 Hadi Kukamatwa kwa Wanazuoni wa Dini
Hawza/ Jumuiya ya Haki za Binadamu ya Bahrain imeitaka Serikali ya Bahrain kusitisha mara moja hatua na vikwazo vyote vilivyowekwa dhidi ya uhuishaji wa alama za kidini na misafara ya maombolezo.