Jumatatu 13 Julai 2026
  • Nyumbani
  • Habari zote
  • Hawza
  • Dunia
  • Dini
    • Hadithi
    • Kitabu na Makala
    • Sheria za Kiislamu
    • Maswali na Majibu
    • Maadili ya Kiislamu
  • Picha
  • Video
  • Kuhusu sisi
filterHabari za leo
  • Kutoka Ndoto za Kuuporomosha Mfumo Hadi Uhalisia wa Uimara Wake; Historia Yawapa Somo Wapinzani wa Iran

    DuniaKutoka Ndoto za Kuuporomosha Mfumo Hadi Uhalisia wa Uimara Wake; Historia Yawapa Somo Wapinzani wa Iran

    Hawza/ Historia daima hutenganisha ukweli na dhana. Wanasiasa kama Lindsey Graham, kwa mahesabu yasiyo sahihi na utabiri usio na msingi, walikuwa wakiahidi kuporomoka kwa Mfumo wa Jamhuri ya…

    2026-07-12 15:30
  • Mazishi ya Kiongozi wa Umma yanauthibitishia ulimwengu kwamba mataifa ya Iraq na Iran ni roho moja katika miili miwili / Uhusiano huu unapaswa kuendelea kuimarika na kuwa imara zaidi siku baada ya siku

    Ayatullah Jawad Marawi akiwa katika mkutano wa wanazuoni wa Najaf na Qum:

    DuniaMazishi ya Kiongozi wa Umma yanauthibitishia ulimwengu kwamba mataifa ya Iraq na Iran ni roho moja katika miili miwili / Uhusiano huu unapaswa kuendelea kuimarika na kuwa imara zaidi siku baada ya siku

    Hawza/ Katibu wa Pili wa Baraza Kuu la Hawza nchini Iran, amesema: "Mazishi haya makubwa yanayoshuhudiwa na uwepo wa wanazuoni wakubwa, Mara'jii wakuu wa Taqlid, wasomi wa fikra, viongozi wa…

    2026-07-12 15:22
  • Mazishi Makubwa ya Imam Khamenei Yameonesha Nafasi Yake Kubwa kwa Umma

    Sheikh Jabri:

    DuniaMazishi Makubwa ya Imam Khamenei Yameonesha Nafasi Yake Kubwa kwa Umma

    Hawza/ Sheikh Abdullah Jabri amesisitiza kuwa: "Uaminifu kwa mashahidi unapatikana kwa kushikamana na njia ya jihadi na muqawama, kuimarisha umoja wa Umma na kuendelea kujitahidi kwa ajili ya…

    2026-07-12 13:50
  • Mazishi ya Mwili wa Imam Khamenei nchini Iraq na Iran Yalikuwa Ni Kuhuisha Bai'a na Tangazo la Msimamo wa Kidini na Kisiasa

    Imamu wa Swala ya Ijumaa wa Najaf Ashraf:

    DuniaMazishi ya Mwili wa Imam Khamenei nchini Iraq na Iran Yalikuwa Ni Kuhuisha Bai'a na Tangazo la Msimamo wa Kidini na Kisiasa

    Hawza/ Hujjatul-Islam wal-Muslimin Sayyid Sadruddin Qabanchi amesema: "Kwa kufanyika mazishi ya mwili wa Shahidi Imam Khamenei nchini Iraq na Iran, kambi ya haki ilipata ushindi katika kiwango…

    2026-07-12 12:50
  • Kuilinda Amana ya Imam Shahidi Kunapatikana kwa Kumfuata Kiongozi Mwenye Baswira na Ukomavu wa Mapinduzi/ Ashukuru Hamasa ya Wananchi katika Mazishi ya Kiongozi Shahidi

    Ayatullah al-Udhma Muzahirii:

    DuniaKuilinda Amana ya Imam Shahidi Kunapatikana kwa Kumfuata Kiongozi Mwenye Baswira na Ukomavu wa Mapinduzi/ Ashukuru Hamasa ya Wananchi katika Mazishi ya Kiongozi Shahidi

    Hawza/ Ayatullah al-Udhma Muzahirii amesema: "Sasa tumebaki na majonzi ya kuondokewa na Imam wetu mtukufu aliyefariki pamoja na Kiongozi wetu Shahidi mwenye cheo cha juu, na amana hii yenye thamani…

    2026-07-12 11:50
  • Jumbe Saba za Kimkakati za Tukio Lisilo na Mfano la Karne/ Kwa Nini Kulipiza Kisasi cha Damu ya Imam Shahidi ni Haki Isiyopingika kwa Umma?

    Ayatullah Khatami Afafanua:

    DuniaJumbe Saba za Kimkakati za Tukio Lisilo na Mfano la Karne/ Kwa Nini Kulipiza Kisasi cha Damu ya Imam Shahidi ni Haki Isiyopingika kwa Umma?

    Hawza/ Mjumbe wa Maulama wa Baraza la Kulinda Katiba amesema kuwa; mazishi ya Imam Shahidi ni "tukio lisilo na mfano katika karne" na "udhihirisho wa mshikamano kati ya dini na taifa." Akiwashukuru…

    2026-07-12 10:50
  • Rais wa Tano wa Indonesia: Imam Shahidi Hakuwa Kiongozi wa Iran Pekee, Bali Alama ya Mapambano na Uadilifu

    DuniaRais wa Tano wa Indonesia: Imam Shahidi Hakuwa Kiongozi wa Iran Pekee, Bali Alama ya Mapambano na Uadilifu

    Hawza/ Rais wa tano wa Indonesia amesema: "Kwa mtazamo wangu, shakhsia ya Ayatullah al-Udhma Sayyid Ali Khamenei haikuwa tu ya kiongozi wa kisiasa au mwanazuoni wa kidini kutoka taifa la Iran…

    2026-07-12 09:50
  • Tutalipiza kisasi cha damu takatifu ya mashahidi kutoka kwa wauaji wahalifu na waliopoteza heshima / Shukrani za dhati kwa mahudhurio ya kihistoria ya wananchi wa Iran na Iraq

    Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi katika Ujumbe Wake Kutokana na Mnasaba wa Mazishi na Kuzikwa "Bwana Shahidi wa Iran":

    DuniaTutalipiza kisasi cha damu takatifu ya mashahidi kutoka kwa wauaji wahalifu na waliopoteza heshima / Shukrani za dhati kwa mahudhurio ya kihistoria ya wananchi wa Iran na Iraq

    Hawza/ Ayatullah Sayyid Mujtaba Husseini Khamenei, katika ujumbe wake, ametoa shukrani za dhati kwa mamilioni ya wananchi wa Iran na Iraq waliohudhuria mazishi ya "Bwana Shahidi wa Iran", na…

    2026-07-12 08:48

Ufikaji wa haraka

  • Nyumbani
  • Habari zote
  • Hawza
  • Dunia
  • Dini
  • Picha
  • Video
  • Kuhusu sisi

Chagua lugha

  • Kiswahili
  • فارسی
  • English
  • العربیة
  • اردو
  • Français
  • हिन्दी
  • বাংলা
  • Türkçe
  • Русский
  • Español
  • Azərbaycan
  • Italiano
  • Hausa
  • indonesia
  • 中文

Mitandao ya kijamii

Haki zote za tovuti hii zimehifadhiwa kwa ajili ya shirika la habari la Hawza.

Kueneza yaliyomo katika shirika la habari la Hawza kwenye mashirika ya habari mengine inafaa pasi na kipingamizi.

sw.hawzahnews.com. All rights reserved

Nastooh Saba Newsroom