Ijumaa 5 Septemba 2025

  • Nyumbani
  • Habari zote
  • Hawza
  • Dunia
  • Dini
    • Hadithi
    • Kitabu na Makala
    • Sheria za Kiislamu
    • Maswali na Majibu
    • Maadili ya Kiislamu
  • Picha
  • Video
  • Kuhusu sisi
filterHabari za leo
  • Radi amali ya Wabahrain kutokana na uteuzi wa balozi mpya wa utawala wa Kizayuni

    DuniaRadi amali ya Wabahrain kutokana na uteuzi wa balozi mpya wa utawala wa Kizayuni

    Hawza/ Maandamano ya wananchi kwa ajili ya kupinga mapokezi ya balozi mpya wa utawala wa Kizayuni yamefanyika katika maeneo kadhaa Bahrain

    2025-09-03 07:49
  • Mwanazuoni wa Kisunni: Kunyamaza wanaodai haki za binadamu mbele ya mauaji ya halaiki ya Wapalestina ni jambo la aibu

    DuniaMwanazuoni wa Kisunni: Kunyamaza wanaodai haki za binadamu mbele ya mauaji ya halaiki ya Wapalestina ni jambo la aibu

    Hawza/ Asadullah Bahto, katika hotuba yake, alilieleza juu ya kunyamaza wanaodai haki za binadamu mbele ya mauaji ya halaiki ya Wapalestina kuwa ni jambo la aibu, na akasisitiza juu ya kushindwa…

    2025-09-03 07:31
  • Umuhimu wa kuimarisha mtazamo wa kimataifa wa Hawza / Hawza zinapaswa kuwa na nafasi yenye athari katika uwanja wa kimataifa

    Ayatullah A‘rafi:

    HawzaUmuhimu wa kuimarisha mtazamo wa kimataifa wa Hawza / Hawza zinapaswa kuwa na nafasi yenye athari katika uwanja wa kimataifa

    Hawza/ Mkurugenzi wa Hawza nchini Iran, huku akisisitiza juu ya umuhimu wa uwepo wa kina na wa kivitendo wa Hawza katika uwanja wa kimataifa, amesema: uzalishaji wa kielimu unaolingana na lugha…

    2025-09-03 07:11
  • Tamko la Hawza za Mabanati Kuhusu Kulaani Jinai ya Hivi Karibuni iliyofanywa na Utawala wa Kizayuni Nchini Yemen

    DuniaTamko la Hawza za Mabanati Kuhusu Kulaani Jinai ya Hivi Karibuni iliyofanywa na Utawala wa Kizayuni Nchini Yemen

    Hawza/ Kituo cha Usimamizi wa Hawza za Mabanati, kufuatia jinai za hivi karibuni zilizofanywa na utawala wa Kizayuni nchini Yemen na kuuawa kishahidi kundi la viongozi wa serikali ya nchi hiyo,…

    2025-09-03 00:39
  • Tamko la Pamoja la Wawakilishi wa Ataba Tukufu za Iran Kuhusu Kulaani Jinai iliyofanywa na Utawala wa Kizayuni Nchini Yemen

    DuniaTamko la Pamoja la Wawakilishi wa Ataba Tukufu za Iran Kuhusu Kulaani Jinai iliyofanywa na Utawala wa Kizayuni Nchini Yemen

    Hawza/ Kamati ya Wawakilishi wa Ataba Tukufu Iran wamelaani vikali shambulizi la kigaidi, la kinyama na lisilo la haki lililofanywa na utawala haramu wa Kizayuni dhidi ya taifa huru na wananchi…

    2025-09-03 00:34
  • Umoja wa Ulamaa wa Muqawama Ulimwenguni: Jinai zinazofanywa na Wazayuni Haziwezi Kudhoofisha Azma ya Taifa la Yemen

    DuniaUmoja wa Ulamaa wa Muqawama Ulimwenguni: Jinai zinazofanywa na Wazayuni Haziwezi Kudhoofisha Azma ya Taifa la Yemen

    Hawza/ Umoja wa Ulamaa wa Muqawama Ulimwenguni, kufuatia shambulizi la anga lililofanywa na  utawala wa Kizayuni lililolenga kikao rasmi cha kiserikali mjini Sana’a, mji mkuu wa Yemen, umetuma…

    2025-09-03 00:21

Ufikaji wa haraka

  • Nyumbani
  • Habari zote
  • Hawza
  • Dunia
  • Dini
  • Picha
  • Video
  • Kuhusu sisi

Chagua lugha

  • Kiswahili
  • فارسی
  • English
  • العربیة
  • اردو
  • Français
  • हिन्दी
  • বাংলা
  • Türkçe
  • Русский
  • Español
  • Azərbaycan

Mitandao ya kijamii

Haki zote za tovuti hii zimehifadhiwa kwa ajili ya shirika la habari la Hawza.

Kueneza yaliyomo katika shirika la habari la Hawza kwenye mashirika ya habari mengine inafaa pasi na kipingamizi.

sw.hawzahnews.com. All rights reserved

Nastooh Saba Newsroom