Jumapili 7 Septemba 2025

  • Nyumbani
  • Habari zote
  • Hawza
  • Dunia
  • Dini
    • Hadithi
    • Kitabu na Makala
    • Sheria za Kiislamu
    • Maswali na Majibu
    • Maadili ya Kiislamu
  • Picha
  • Video
  • Kuhusu sisi
filterHabari za leo
  • Ushirikiano wa wananchi umeangamiza njama za Marekani na utawala wa Kizayuni / “Umoja” ndii suluhisho katika kuueneza Uislamu duniani

    Ayatullah Saidi katika Swala ya Ijumaa Qom, nchi Iran:

    DuniaUshirikiano wa wananchi umeangamiza njama za Marekani na utawala wa Kizayuni / “Umoja” ndii suluhisho katika kuueneza Uislamu duniani

    Hawza/ Khatibu wa Ijumaa wa Qom alisema: “Utawala wa Kizayuni ulidhani kwamba, kwa kudhoofisha imani ya wananchi na kuchichea kukata tamaa ungeweza kutikisa misingi ya serikali, lakini mshikamano…

    2025-09-05 18:34
  • Kiongozi wa Jamaat-e-Islami Pakistan: Kujitolea kwa Iran katika kuiunga mkono Palestina ni fahari kwa Umma wa Kiislamu

    DuniaKiongozi wa Jamaat-e-Islami Pakistan: Kujitolea kwa Iran katika kuiunga mkono Palestina ni fahari kwa Umma wa Kiislamu

    Hawza/ Hafiz Naeemur Rehman katika hotuba yake alisisitiza kwamba kujitolea kwa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika kuliunga mkono taifa la Palestina ni chanzo cha fahari kwa umma wa Kiislamu…

    2025-09-05 18:28
  • Sentensi ambayo Ahlus-Sunna nchini India wameiandika kuhusiana na Ayatullah al-Udhma Khamenei

    DuniaSentensi ambayo Ahlus-Sunna nchini India wameiandika kuhusiana na Ayatullah al-Udhma Khamenei

    Hawza/ Ahlus-Sunna wa mji wa Lucknow nchini India katika siku ya 12 Rabiul-Awwal, kwa kuweka picha za Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi ya Kiislamu, walionesha ujumbe unaolenga umoja wa Waislamu ulimwenguni.

    2025-09-05 18:25
  • Chanzo cha matatizo katika ukanda huu ni uvimbe wa saratani wa Kizayuni

    Balozi wa Yemen nchini Iran:

    DuniaChanzo cha matatizo katika ukanda huu ni uvimbe wa saratani wa Kizayuni

    Hawza/ Ibrahim Muhammad al-Daylami, huku akilaani ukimya wa nchi za Kiarabu na Kiislamu mbele ya uvamizi wa utawala wa Kizayuni, ameitaja Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kama mlinzi pekee wa kweli…

    2025-09-05 18:21
  • Rais wa Kituo cha Utafiti cha Bunge: Mikakati ya pamoja ya Yemen imedhoofisha biashara ya baharini ya utawala wa Kizayuni

    DuniaRais wa Kituo cha Utafiti cha Bunge: Mikakati ya pamoja ya Yemen imedhoofisha biashara ya baharini ya utawala wa Kizayuni

    Hawza/ Babak Negahdari alibainisha kuwa hatua za Yemen si tu zimeongeza gharama za utawala wa Kizayuni na Marekani katika eneo, bali pia zimeutikisa ubeberu kwenye sekta ya kiuchumi hasa Marekani,…

    2025-09-05 18:18
  • Imamu wa Ijumaa wa Beirut: Kutoweka kwa Imam Musa Sadr kutokana na nafasi yake ya kuunganisha na kuunga mkono malengo ya haki ni pigo kubwa

    DuniaImamu wa Ijumaa wa Beirut: Kutoweka kwa Imam Musa Sadr kutokana na nafasi yake ya kuunganisha na kuunga mkono malengo ya haki ni pigo kubwa

    Hawza/ Hujjatul-Islam wal-Muslimin Sayyid Ali Fadhlallah alisema: “Kutoweka kwa Imam Musa Sadr, kutokana na nafasi yake ya kuleta umoja wa kitaifa na Kiislamu, pamoja na kuunga mkono malengo…

    2025-09-05 18:14
  • Picha/ Hafla ya Maulidi Kitaifa yafanyika Mkoani Tanga, Mashia waonesha umoja na mshikamano usio na kifani

    DuniaPicha/ Hafla ya Maulidi Kitaifa yafanyika Mkoani Tanga, Mashia waonesha umoja na mshikamano usio na kifani

    Hawza/ Sherehe ya Maulidi ya Kitaifa nchini Tanzania imefanyika usikubwa kuamkia leo Mkoani Tanga katika Wilaya ya Korogwe, huku viongozi Mashuhiri wakihudhuria katika hafla hiyo, na wafuasi…

    2025-09-05 18:09

Ufikaji wa haraka

  • Nyumbani
  • Habari zote
  • Hawza
  • Dunia
  • Dini
  • Picha
  • Video
  • Kuhusu sisi

Chagua lugha

  • Kiswahili
  • فارسی
  • English
  • العربیة
  • اردو
  • Français
  • हिन्दी
  • বাংলা
  • Türkçe
  • Русский
  • Español
  • Azərbaycan

Mitandao ya kijamii

Haki zote za tovuti hii zimehifadhiwa kwa ajili ya shirika la habari la Hawza.

Kueneza yaliyomo katika shirika la habari la Hawza kwenye mashirika ya habari mengine inafaa pasi na kipingamizi.

sw.hawzahnews.com. All rights reserved

Nastooh Saba Newsroom