Alhamisi 7 Agosti 2025

  • Nyumbani
  • Habari zote
  • Hawza
  • Dunia
  • Dini
    • Hadithi
    • Kitabu na Makala
    • Sheria za Kiislamu
    • Maswali na Majibu
    • Maadili ya Kiislamu
  • Picha
  • Video
  • Kuhusu sisi
filterHabari za leo
  • Mwandishi wa Hawza: Ukimya wa watawala wa Kiislamu mbele ya njaa inayo wakabili watu wa Ghaza haufahamiki

    DuniaMwandishi wa Hawza: Ukimya wa watawala wa Kiislamu mbele ya njaa inayo wakabili watu wa Ghaza haufahamiki

    Hawza/ Mtafiti wa kielimu wa Hawza ametaja kimya cha sasa cha jumuiya za Kiislamu na wanaharakati wa kiraia, kuwa ni miongoni mwa majibu ya kusikitisha zaidi ya Waislamu dhidi ya maadui katili…

    2025-08-07 06:32
  • Akili Mnemba Katika kutoa Huduma kwenye Arbaeen ya Hussein

    DuniaAkili Mnemba Katika kutoa Huduma kwenye Arbaeen ya Hussein

    Hawza/ Leo, badala ya kulalamikia vikwazo vya vyombo vya habari, inapaswa kutumika akili mnemba kwa ajili ya kuunda “chombo cha habari huru na chenye akili”; chombo cha habari ambacho kitaweza…

    2025-08-07 06:26
  • Mkusanyiko Mkubwa Zaidi wa watu Wanaiounga Mkono Palestina huko Sydney Waishangaza Dunia

    DuniaMkusanyiko Mkubwa Zaidi wa watu Wanaiounga Mkono Palestina huko Sydney Waishangaza Dunia

    Hawza/ Idadi ya watu waliokuwa katika mkutano wa wanaoiunga mkono Palestina uliofanyika kwenye daraja la Harbour jijini Sydney ilizidi matarajio na makadirio yote!

    2025-08-07 06:22
  • Israeli Yakiri Kwamba: “Watu Wote Wanaikhtalifiana na Sisi”

    DuniaIsraeli Yakiri Kwamba: “Watu Wote Wanaikhtalifiana na Sisi”

    Hawza/ Katika kukiri kusiko na kifani, maafisa wa Wizara ya Mambo ya Nje wa utawala wa Kizayuni wametangaza kupungua kwa kiwango kikubwa cha wafuasi wa utawala huo katika uwanja wa kimataifa,…

    2025-08-07 06:18
  • Darasa ya Akhlaq | Katika mitihani mizito ya Mwenyezi Mungu, wadhifa wetu ni upi?

    DiniDarasa ya Akhlaq | Katika mitihani mizito ya Mwenyezi Mungu, wadhifa wetu ni upi?

    Hawza/ Mitihani ya Mungu inaendelea kuwa migumu zaidi, na kila mtu, kulingana na nafasi na uwezo wake, ana wajibu mbele ya mitihani hii; jamii haiwezi kutahiniwa moja kwa moja, watu binafsi ndio…

    2025-08-07 06:15

Ufikaji wa haraka

  • Nyumbani
  • Habari zote
  • Hawza
  • Dunia
  • Dini
  • Picha
  • Video
  • Kuhusu sisi

Chagua lugha

  • Kiswahili
  • فارسی
  • English
  • العربیة
  • اردو
  • Français
  • हिन्दी
  • বাংলা
  • Türkçe
  • Русский
  • Español
  • Azərbaycan

Mitandao ya kijamii

Haki zote za tovuti hii zimehifadhiwa kwa ajili ya shirika la habari la Hawza.

Kueneza yaliyomo katika shirika la habari la Hawza kwenye mashirika ya habari mengine inafaa pasi na kipingamizi.

sw.hawzahnews.com. All rights reserved

Nastooh Saba Newsroom