ufaransa (4)
-
DuniaKwa kuuawa Muislamu mwingine nchini Ufaransa, nchi hiyo imeingia katika duru mpya ya mauaji dhidi ya Waislamu
Hawzah/ Kwa mujibu wa Wizara ya Ujasusi wa Kitaifa ya Ufaransa, uhalifu dhidi ya Waislamu katika robo ya kwanza ya mwaka huu umeongezeka kwa asilimia 72 ikilinganishwa na robo ya kwanza ya mwaka…
-
DuniaWaziri wa Mambo ya Ndani wa Ufaransa ataka hijabu ipigwe marufuku vyuoni
Waziri wa Mambo ya Ndani wa Ufaransa, Bruno Retailleau, jana alitangaza kuwa ana azma ya kuzuia uvaaji wa hijabu katika vyuo vikuu.
-
DuniaChuki dhidi ya Uislamu (Islamophobia), kwa Mtindo wa Ufaransa; Muislamu auwawa ndani ya Msikiti nchini Ufaransa
Siku ya Ijumaa, mtu mmoja ambaye unafahamika, aliingia ndani ya msikiti katika kijiji cha Land Kamp kilichoko kusini mwa Ufaransa, huku akiwa na kisu na akamuua mwislamu aliyekuwa akiswali.
-
DuniaWanamichezo wakosoa mpango wa Ufaransa kupiga marufuku Hijabu katika mashindano
Wanamichezo wanawake wa Kiislamu nchini Ufaransa wamejitokeza kupinga muswada mpya wa sheria unaolenga kupiga marufuku uvaaji wa Hijabu katika mashindano ya michezo ya kitaifa, wakisema hatua…