Uvamizi wa kinyama dhidi ya Yemen (6)
- 
                                          Imam wa Ijumaa wa Najaf Ashraf:DuniaKuuwawa kishahidi Waziri Mkuu na viongozi mashuhuri wa Yemen hakukuathiri mwendelezo wa mapambano ya YemenHawza/ Hujjatul-Islam wal-Muslimin Sayyid Sadruddin Qubanji alisema: Kuuwawa kishahidi Waziri Mkuu wa Yemen pamoja na viongozi wengine 21 mashuhuri wa Yemen hakukuathiri mwendelezo wa mapambano… 
- 
                                          DuniaTamko la Pamoja la Wawakilishi wa Ataba Tukufu za Iran Kuhusu Kulaani Jinai iliyofanywa na Utawala wa Kizayuni Nchini YemenHawza/ Kamati ya Wawakilishi wa Ataba Tukufu Iran wamelaani vikali shambulizi la kigaidi, la kinyama na lisilo la haki lililofanywa na utawala haramu wa Kizayuni dhidi ya taifa huru na wananchi… 
- 
                                          DuniaUmoja wa Ulamaa wa Muqawama Ulimwenguni: Jinai zinazofanywa na Wazayuni Haziwezi Kudhoofisha Azma ya Taifa la YemenHawza/ Umoja wa Ulamaa wa Muqawama Ulimwenguni, kufuatia shambulizi la anga lililofanywa na utawala wa Kizayuni lililolenga kikao rasmi cha kiserikali mjini Sana’a, mji mkuu wa Yemen, umetuma… 
- 
                                          DuniaChama cha Ustawi wa Kitaifa cha Afghanistan: Kunyamaza dhidi ya ugaidi waliofanyiwa viongozi wa Yemen, kunachochea uvamizi unaoendelezwa na IsraeliHawza/ Katibu Mkuu wa Chama cha Ustawi wa Kitaifa cha Afghanistan amelaani mauaji ya kigaidi dhidi ya Waziri Mkuu na mawaziri wa Yemen, na akaonya kwamba endapo ulimwengu wa Kiislamu hautachukua… 
- 
                                          DuniaHarakati ya Umma wa Lebanon: Kuuwawa Waziri Mkuu wa Yemen ni jinai ya Kizayuni inayokiuka mamlaka ya ummaHawza/ Harakati ya Umma ya Lebanon katika tamko lake imetoa mkono wa pole kwa kuuwawa kishahidi kwa Ahmad Ghalib Al-Rahwi, Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Yemen, pamoja na idadi ya mawaziri wa nchi… 
- 
                                          DuniaHizbullah: Uvamizi wa kinyama dhidi ya Yemen ni jinai mpya iliyoongezwa kwenye jalada la jinai za WazayuniHawza/ Hizbullah katika tamko lake imetoa rambirambi zake za dhati na pole za kina kwa taifa ndugu la Yemen na uongozi wake wa mapambano chini ya uongozi wa Sayyid Abdulmalik Badruddin Al-Houthi