Hawza/ Waandamanaji waliovaa mavazi mekundu waliandamana siku ya Jumapili katika mji mkuu wa Uholanzi kwa lengo la kuitaka serikali yao kusitisha utekelezaji wa mikataba ya kibiashara na utawala…
Waandamanaji waliokuwa wakionesha upinzani wao dhidi ya vitendo vya utawala wa Kizayuni wa Israel na waliokuwa wakitaka serikali ya Uholanzi isifungamane na utawala huo dhalimu, walikamatwa katika…
Maelfu ya watu katika jiji la Rotterdam, Uholanzi, wameandamana kwa ajili ya kupinga mashambulizi ya mara kwa mara yanayofanywa na utawala wa Kizayuni dhidi ya Ukanda wa Ghaza. Maandamano haya…