Tabligh (8)
-
Imamu wa Ijumaa wa Najaf Ashraf:
DuniaUislamu ni wa kimataifa na tunahitaji kuhuisha nyenzo za tablighi zinazolingana na ulimwengu
Hawza/ Hujjatul-Islam wal-Muslimin Sayyid Sadruddin Qabanchi, katika kongamano la walinganiaji, alisisitiza kuwa: Tunahitaji kuhuisha zana zetu za tablighi. Mwanazuoni wa dini anapaswa kuwa na…
-
HawzaMapendekezo ya Jumuiya ya Waalimu kwa Wahubiri katika Mwezi Mtukufu wa Ramadhani/ wafafanulieni vijana vipengele vya mapinduzi ya Marekani na Wazayuni
Hawza/ Jumuiya ya Waalimu wa Hawza ya Qum, imewataka wahubiri katika Mwezi Mtukufu wa Ramadhani kuwafafanulia watu, hususan vijana balehe na vijana kwa ujumla, vipengele vya fitna ya Kimarekani–Wazayu…
-
Ayatollah A‘raafi katika kikao cha na walimu na walinganiaji:
DuniaAwamu mpya ya mapambano dhidi ya Uislamu; umuhimu wa mkakati wa kushambulia sambamba na mbinu ya kujihami/ Wahubiri elfu 50 waagizwa kote nchini Iran katika siku za Mwezi Mtukufu wa Ramadhani
Hawza/ Ayatollah Alireza A‘raafi, Mkuu wa Hawza za Elimu ya Dini nchini Iran, katika kikao cha kirafiki na walimu, wahubiri na wanafunzi wa Hawza kilichofanyika katika Shule ya Madrasa ya Fayziya…
-
Ayatullah Kaabi:
DuniaRamadhani ni shule ya kujijenga na jihadi ya ustaarabu
Hawza/ Ayatullah Abbas Kaabi, katika mkutano wa wakurugenzi na walinganiaji wa nchi Iran ulioratibiwa mahsusi kwa ajili ya mwezi mtukufu wa Ramadhani 1447 Hijria, uliofanyika kwa juhudi za muungano…
-
HawzaPendekezo la Ayatollah al-Udhma Javadi Amoli kwa Walinganiaji (Moballeghena); Hakikisheni Mnaendesha Somo la Tafsiri
Hawza/ Mtukufu Ayatollah Javadi Amoli akiwahutubia walinganiaji alisisitiza kuwa: Ninyi waheshimiwa mnaokwenda kwa ajili ya tablighi (ulinganiaji), hakikisheni mnaendesha somo la tafsiri.
-
Ayatullah A’rafi:
DuniaLeo dini inahitaji mwanazuoni mpiganaji/ Tabligh ni jukumu kuu la hawza katika hali nyeti ya sasa
Hawza/ Ayatullah Alireza A’rafi, Mkurugenzi wa Hawza nchini Iran, amesisitiza kwamba: Leo dini inahitajia mwanazuoni mwenye sifa ya kuipigania na kusimama kidete, huku akielezea kuwa tabligh…
-
Naibu wa Idara ya Tabliigh na Masuala ya Kitamaduni ya Hawza nchini Iran:
Dunia“Ikhlasi” ndiyo ufunguo wa mafanikio katika kuhubiri dini/ Kutafuta umaarufu ni kujitenga na njia ya tauhidi
Hawza/ Hujjatul-Islam wal-Muslimīn Rafi‘ī katika kongamano la mafunzo na maelekezo la “Karīmah Ahl al-Bayt (a.s.)” lililohusisha wawakilishi wa shule za Amin na viongozi wa masuala ya tablighi…
-
Ayatullah Jawad Marvii:
DuniaHakuna jukumu lolote linalopaswa kumtenga mwanafunzi wa Hawza na tabligh/ Tabligh ni risala ya kimungu, si ajira
Hawza/ Katibu wa pili wa Baraza Kuu la Hawza, Ayatullah Jawad Marvi, amesisitiza kwamba hakuna jukumu au cheo chochote kinachopaswa kumtenga mwanafunzi wa Hawza na kazi ya tabligh, akibainisha…