Sheikh jalala (6)
-
DuniaSheikh Mkuu wa Jumuiya ya Shia Tanzania (TIC) Atembelea Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Kigoma Tanzania
Hawza/ Tareh, 02 Oktoba 2025 — Sheikh Mkuu wa Jumuiya ya Shia Tanzania (TIC), Samaahat Sheikh Hemedi Jalala Mwakindenge, akiendelea na ziara yake ya mkoani Kigoma, leo ametembelea Ofisi ya Mkuu…
-
DuniaOfisi ya Jumuiya ya Shia Ithnaasharia (TIC), Mkoa wa Mwanza yafunguliwa Rasmi
Hawza/ Hatimae jana tareh 28 Mwezi wa tisa Mkoa wa Mwanza ulifanya uzinduzi rasmi wa Ofisi ya Jumuiya ya Shia Inthaasharia (TIC), baada ya kufunguliwa na Sheikh Mkuu wa Jumuiya hiyo.
-
DuniaHauli ya Marehemu Sheikh Abdallah Seifu yafanyika Mnang'ole Lindi
Hawza/ Hauli ya aliekuwa Sheikh wa kwanza wa Jumuiya ya Shia Ithnaasharia Tanzania (TIC), Hayati Sheikh Abdallah Seifu Linganaweka Imefanyika jana Jumamosi kijijini kwake Mnong'ole Lindi.
-
DuniaPicha/ Maulidi ya Kitaifa yafanywa na Jumuiya ya Shia ithnaasharia Tanzania (TIC)
Hawza/ Jumuiya ya Shia ithnaasharia Tanzania (TIC), ikishirikiana na Hawza ya Imaam Sw'adiq (as), chini ya usimamizi wa Samaht Sheikh Jalala Hemedi Mwakindenge, usiku wa kuamkia leo zimeadhimisha…
-
DuniaTanzania Ithnaasharia Community (TIC) yatangaza Maulidi ya Mtume Muhammad (saw) ya Mwaka huu
Hawza/ Tanzania Ithnaasharia Community ikishirikiana na Hawza ya Imaam Sw'adiq (as) wametoa tangazo rasmi la Maulidi ya Mtume Muhammad (saw) mwaka huu wa 2025
-
DuniaPicha / matembezi ya amani ya kumbukumbu ya kifo cha Mtume Muhammad (saw) yafanyika nchini Tanzania
Hawza/ Hawza ya Imaam Swadiq (as) chini ya usimamizi wa Samahat Sheikh Jalala iliandaa matembezi ya amani yaliyo husiana na kumbukumbu ya kifo cha Mtume Muhammad (saw) kwa ajili ya kuadhimisha…