Sheikh Mkuu wa Mashia Tanzania (9)
-
DuniaMazishi ya Sayyid Ali Khamenei Yalibeba Ujumbe Mkubwa kwa Umma; Maulana Hemed Jalala Aainisha Mafunzo Matano Muhimu Rufiji
Hawza/ Sheikh Mkuu wa Jumuiya ya Shia Tanzania (TIC), Maulana Sheikh Hemed Jalala Mwakindenge, jana alihudhuria na kusoma Majlisi ya kumbukumbu ya Sayyid Ali Khamenei iliyofanyika katika Husseiniyat…
-
Sheikh Mkuu wa Jumuiya ya Shia Tanzania:
DuniaNukta Tano Muhimu Tunazojifunza Kutokana na Mazishi Makubwa ya Imam Shahidi Khamenei (ra)
Hawza/ Sheikh Mkuu wa Jumuiya ya Shia Tanzania, Maulana Sheikh Hemed Jalala, amesema kuwa; maisha na mazishi ya Imam Shahidi Sayyid Ali Khamenei (ra) yamebeba mafunzo makubwa kwa Waislamu na…
-
DuniaSheikh Mkuu wa TIC Aongoza na Kushiriki Matembezi ya Amani ya Ashura Temeke; Ujumbe wa Umoja na Haki Watolewa + Picha
Hawza/ Sheikh Mkuu wa Jumuiya ya Shia Tanzania (TIC) na Kiongozi Mkuu wa Hawza ya Imam Swadiq (as), Maulana Sheikh Hemed Jalala Mwakindenge, ameshiriki katika Matembezi ya Amani ya kumbukizi…
-
DuniaSheikh Mkuu wa Jumuiya ya Shia Tanzania (TIC) Ashiriki Zoezi la Usafi Kumuenzi Imam Hussein (as) Jijini Dar es Salaam + Picha
Hawza/ Sheikh Mkuu wa Jumuiya ya Shia Tanzania (TIC), Maulana Sheikh Hemed Jalala, jana tareh 25 June 2026, ameshiriki katika zoezi la usafi wa mazingira lililofanyika katika maeneo ya Kigogo,…
-
DuniaSheikh Mkuu wa Jumuiya ya Shia Tanzania Aongoza Majlisi ya Imam Hussein (as) Bilal Temeke; Atoa Nasaha Muhimu Kuhusu Imam Mahdi (as)
Hawza/ Katika mazingira yaliyojaa huzuni, tafakuri na mapenzi kwa Ahlul-Bayt (as), Sheikh Mkuu wa Jumuiya ya Shia Tanzania (TIC) na Kiongozi Mkuu wa Hawza ya Imam Swadiq (as), Sheikh Hemed Jalala,…
-
Sheikh Mkuu wa Mashia Tanzania:
DuniaVijana Tumieni Akili ili Muweze Kuitambua Haki na Kuepukana na Batili
Hawza/ Sheikh Mkuu wa Jumuiya ya Mashia Tanzania, Maulana Sheikh Hemed Jalala, amewahimiza vijana kutumia akili na fikra zao katika kutafakari masuala mbalimbali ya dini na maisha ili waweze…
-
Sheikh Mkuu wa Mashia Tanzania:
DuniaMaadili katika Ukusanyaji na Ulipaji wa Kodi Ni Msingi wa Maendeleo na Umoja wa Taifa
Hawza/ Sheikh Mkuu wa Jumuiya ya Shia Tanzania (TIC), Maulana Sheikh Hemed Jalala, amesisitiza umuhimu wa kuzingatia maadili katika ukusanyaji na ulipaji wa kodi kwa akieleza kuwa; jambo hilo…
-
Sheikh Mkuu wa Mashia Tanzania:
DuniaAmani ya Taifa ni Lulu Inayopaswa Kulindwa na Kuhifadhiwa
Hawza/ Sheikh Mkuu wa Jumuiya ya Mashia nchini Tanzania, Maulana Sheikh Hemed Jalala, amesisitiza umuhimu wa kulinda amani, umoja na mshikamano wa kitaifa, huku akieleza kuwa; amani ni neema…
-
Sheikh Mkuu wa Mashia Tanzania:
DuniaAmani, Umoja na Mshikamano wa Taifa ni Nguzo Kuu Inayopaswa Kuenziwa
Hawza/ Sheikh Mkuu wa Mashia Tanzania amewaomba wananchi na waumini wote nchini kuendelea kuilinda amani ya taifa, kudumisha umoja wa wananchi pamoja na kuimarisha mshikamano wa kijamii kama…