Sheikh Mkuu wa Mashia Tanzania (4)
-
Sheikh Mkuu wa Mashia Tanzania:
DuniaVijana Tumieni Akili ili Muweze Kuitambua Haki na Kuepukana na Batili
Hawza/ Sheikh Mkuu wa Jumuiya ya Mashia Tanzania, Maulana Sheikh Hemed Jalala, amewahimiza vijana kutumia akili na fikra zao katika kutafakari masuala mbalimbali ya dini na maisha ili waweze…
-
Sheikh Mkuu wa Mashia Tanzania:
DuniaMaadili katika Ukusanyaji na Ulipaji wa Kodi Ni Msingi wa Maendeleo na Umoja wa Taifa
Hawza/ Sheikh Mkuu wa Jumuiya ya Shia Tanzania (TIC), Maulana Sheikh Hemed Jalala, amesisitiza umuhimu wa kuzingatia maadili katika ukusanyaji na ulipaji wa kodi kwa akieleza kuwa; jambo hilo…
-
Sheikh Mkuu wa Mashia Tanzania:
DuniaAmani ya Taifa ni Lulu Inayopaswa Kulindwa na Kuhifadhiwa
Hawza/ Sheikh Mkuu wa Jumuiya ya Mashia nchini Tanzania, Maulana Sheikh Hemed Jalala, amesisitiza umuhimu wa kulinda amani, umoja na mshikamano wa kitaifa, huku akieleza kuwa; amani ni neema…
-
Sheikh Mkuu wa Mashia Tanzania:
DuniaAmani, Umoja na Mshikamano wa Taifa ni Nguzo Kuu Inayopaswa Kuenziwa
Hawza/ Sheikh Mkuu wa Mashia Tanzania amewaomba wananchi na waumini wote nchini kuendelea kuilinda amani ya taifa, kudumisha umoja wa wananchi pamoja na kuimarisha mshikamano wa kijamii kama…