Papa Fransisko (5)
-
DuniaUjumbe wa Rambirambi kutoka kwa Balozi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran Vatikani kutokana na Mnasaba wa Kifo cha Papa Francis
Balozi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran Vatikani ametoa ujumbe wa rambirambi huku akielezea masikitiko yake juu ya kifo cha Papa Francis, kiongozi wa Katoliki duniani.
-
DuniaUjumbe wa Raisi wa Shura ya Maulamaa wa Kishia Pakistan kutokana na Mnasaba wa kufariki Papa Francis
Kwa mujibu wa shirika la habari la Hawza, Hujjatul-Islam wal-Muslimin Sayyid Sajid Ali Naqvi, Raidi wa Baraza la Maulamaa wa Kishia Pakistan, ameeleza masikitiko yake na huzuni kufuatia kifo…
-
Ujumbe wa rambirambi kutoka Ofisi ya Ayatollah Al-Udhma Sistani kufuatia kufariki Kiongozi wa kanisa katoliki duniani:
HawzaPapa alitekeleza jukumu mashuhuri katika kuhudumia amani, kuvumiliana na kuleta mshikamano kwa wanyonge
Kufuatia kifo cha Papa Francis, kiongozi wa kanisa katoliki wa duniani, ofisi ya Hadhrqt Ayatollah Sistani imetoa ujumbe wa rambirambi.
-
Ayatollah A'raafi katika ujumbe wake wa rambirambi kwa wafuasi wa dini ya kikristo:
HawzaPapa Francis alikuwa na juhudi zenye thamani katika kuimarisha uhusiano kati ya dini za Mungu hususan Uislamu na Ukristo
Papa Francis, kwa mtazamo wa kibinadamu na kimaadili, alikuwa na juhudi zilizo na thamani katika kuimarisha uhusiano kati ya dini za mbinguni, hasa hasa Uislamu na Ukristo, na katika kueneza…
-
DuniaPapa Fransisko Aaga Dunia
Vatikani imetangaza kuwa: Papa Fransisko, kiongozi wa Wakatoliki duniani, amefariki dunia tarehe 21 Aprili 2025, sawa na tarehe 1 Shahrivar 1404, akiwa na umri wa miaka 88 mjini Roma.