Balozi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran Vatikani ametoa ujumbe wa rambirambi huku akielezea masikitiko yake juu ya kifo cha Papa Francis, kiongozi wa Katoliki duniani.
Kwa mujibu wa shirika la habari la Hawza, Hujjatul-Islam wal-Muslimin Sayyid Sajid Ali Naqvi, Raidi wa Baraza la Maulamaa wa Kishia Pakistan, ameeleza masikitiko yake na huzuni kufuatia kifo…
Papa Francis, kwa mtazamo wa kibinadamu na kimaadili, alikuwa na juhudi zilizo na thamani katika kuimarisha uhusiano kati ya dini za mbinguni, hasa hasa Uislamu na Ukristo, na katika kueneza…
Vatikani imetangaza kuwa: Papa Fransisko, kiongozi wa Wakatoliki duniani, amefariki dunia tarehe 21 Aprili 2025, sawa na tarehe 1 Shahrivar 1404, akiwa na umri wa miaka 88 mjini Roma.