Hawza/ Maulidi ya kitaifa mwaka huu wa 2025 yamepangwa kufanyika Mkoani Tanga, katika wilaya ya Korogwe kwenye viwanja vya Shule ya Mazoezi Manundu
Hawza/ Mufti wa Tanzania, Sheikh Abubakr bin Zuber, amekutana na wanafunzi wa kitanzania nchini Morocco na kuweza kufanya nao mazungumzo ya pamoja.