Matumizi ya Akili Mnemba (4)
-
DuniaElon Musk amebadilisha mfumo wa akili mnemba ili iseme uongo kuhusiana na Ghaza
Hawza/ Baada ya watumiaji kubaini kuwa akili mnemba "Grok" ilipoulizwa swali: “Je, huko Ghaza kunafanyika mauaji ya kimbari?” ilijibu: “Ndiyo, Israel na Marekani wanafanya mauaji ya kimbari huko,”…
-
DuniaWaziri Mkuu wa Malaysia Katika Ufunguzi wa Mashindano ya Qur'ani: Waislamu kusalia nyuma katika Akili mnemba ni sawa na kubakia nyuma katika ustaarabu
Anwar Ibrahim, Waziri Mkuu wa nchi ya Malaysia, katika hafla ya ufunguzi wa mashindano ya kitaifa ya Qur'ani Tukufu, alisema: Kumiliki ujuzi wa Qur'ani pamoja na sayansi ya kisasa ikiwemo akili…
-
Ayatollah Araki katika mkutano unao husu “Matumizi na uwezo wa akili mnemba”:
HawzaMatumizi ya akili mnemba ni jambo la wajibu / Mafaqihi wabainishe hukumu za kifiqhi zinazohusiana na akili mnemba
Mjumbe wa Jumuiya ya walimu wa Hawza ya Qom {Jamiat Mudarrisin} alieleza wazi kwamba: Kuwekeza nguvu katika mkakati mara nyingi kunahusiana na mienendo ya kawaida, na akili mnemba pia ina nafasi…
-
DiniChangamoto za Matumizi ya Akili Mnemba (AI) katika Kuchakata Aya za Qur'ani
Akili Mnemba (AI) ni moja ya maendeleo makubwa ya kiteknolojia katika zama za kisasa na inatumiwa katika maeneo mengi, ikiwemo kuchakata maandiko ya kidini.