Hawza/ Mtukufu Ayatullah Makarim Shirazi, huku akisisitiza kuwa bado anaendelea na kazi za kielimu, amesisitiza juu ya ulazima wa jitihada, usafi wa nia na matumizi ya zana za kisasa hasa akili…
Hawza/ Baada ya watumiaji kubaini kuwa akili mnemba "Grok" ilipoulizwa swali: “Je, huko Ghaza kunafanyika mauaji ya kimbari?” ilijibu: “Ndiyo, Israel na Marekani wanafanya mauaji ya kimbari huko,”…
Anwar Ibrahim, Waziri Mkuu wa nchi ya Malaysia, katika hafla ya ufunguzi wa mashindano ya kitaifa ya Qur'ani Tukufu, alisema: Kumiliki ujuzi wa Qur'ani pamoja na sayansi ya kisasa ikiwemo akili…
Mjumbe wa Jumuiya ya walimu wa Hawza ya Qom {Jamiat Mudarrisin} alieleza wazi kwamba: Kuwekeza nguvu katika mkakati mara nyingi kunahusiana na mienendo ya kawaida, na akili mnemba pia ina nafasi…