Makaburi ya Baqii (5)
-
DuniaPainia wa Wahindi katika ujenzi upya wa Baqi‘; kitabu cha “Jannat al-Baqi‘; Historia, Ukweli na Nyaraka” yazinduliwa katika mji mkuu wa India
Hawza/ Wakati wa kumbukumbu ya miaka mia moja tangia kubomolewa kwa makaburi matukufu kihistoria ya Jannat al-Baqi‘, hafla ya uzinduzi wa kitabu “Jannat al-Baqi‘; Historia, Ukweli na Nyaraka”…
-
Katika kikao cha kimataifa kilichoandaliwa kuhusu ujenzi upya wa Baqī':
DuniaKuanzia tarehe 15 hadi 25 Shawwal zimeitwa "siku kumi za Baqī'"
Kikao cha kimataifa kilicho fanyika mtandaoni kiliandaliwa na Taasisi ya Baqī' ya Chicago kwa kushirikisha maulamaa mashuhuri kutoka nchi mbalimbali.
-
HawzaKikao cha kimataifa cha kutaka ukarabati wa Baqi’ chafanyika Qom
Kwa mnasaba wa kumbukumbu ya mwaka wa uharibifu wa kusikitisha wa makaburi ya Jannatul-Baqi’, kikao cha kimataifa kimefanyika katika mji mtukufu wa Qom, katika shule ya Imam Khomeini (r.a), kwa…
-
Makao makuu ya Hawza:
HawzaFikra ya Kigaidi ambayo ilitumika kuharibu Makaburi ya Baqii, leo hii ndiyo ambayo inatumika kumwaga damu za watoto na wanawake wa Ghaza
Kituo kinacho simamia na kuongoza Hawza katika taarifa yake kutokana na mnasaba wa kumbukumbu ya kubomolewa makaburi matukufu ya Maimamu wa Baqii (a.s), kimewataka wanazuoni na wasomi wa ulimwengu…
-
HawzaTukio la kubomolewa makaburi ya maimamu wa Baqii (a.s) halina mbadala
Marehemu Ayatollah Safi Golpayegani katika chapisho alilo liandika kuhusiana na mnasaba wa kumbukizi ya kubomolewa kwa makaburi ya Maimamu wa Baqii (a.s), alieleza wazi kuwa: Lengo ovu la maadui…