Karbalaa (16)
-
DuniaKongamano la Wahubiri wa Afrika Lafanyika Karbala; Watoa Mada Wahimiza Umoja, Kuieneza Dini na Kuwatetea Wanaodhulumiwa
Hawza/ Katika mwendelezo wa shughuli za maadhimisho ya Arubaini ya Imam Hussein (as), Jumuiya ya Aimmat Huda't imefanya Kongamano la Wahubiri wa Afrika mjini Karbala, likiwakutanisha wahubiri…
-
DuniaMafunzo 6 ya Kistaarabu ya Arubaini katika Tamko la Kimkakati la Ayatullah A'raafi/ Uhusiano wa Damu ya Imam Hussein (as) na Damu ya Shahidi Khamenei Ufikishiwe Walimwengu
Mkurugenzi wa Hawza za Elimu ya Dini, akieleza masomo ya kistaarabu ya Arubaini, amewapa jukumu wanafunzi wa hawza na wahubiri kwamba katika mawakibu, njiani na katika fursa mbalimbali za ulinganiaji,…
-
DuniaNajaf na Karbala Zashuhudia Mahudhurio Makubwa ya Wananchi wa Iraq katika Mazishi ya Mbeba Bendera ya Mapambano Dhidi ya Matwaghuti, Imam Khamenei + Video na Picha
Hawza/ Leo, Iraq imeshuhudia mahudhurio makubwa na ya kipekee ya makundi mbalimbali ya wananchi katika mazishi ya kihistoria ya Imam Sayyid Ali Khamenei; hafla inayofanyika katika miji mitakatifu…
-
DuniaPicha za mchakato wa mazishi ya kiongozi shahidi na mpigania haki wa Waislamu duniani, ndani ya haram takatifu ya Imam Hussein (as)
Picha za mchakato mzima wa mazishi ya kiongozi shahidi, mpigania haki wa Waislamu duniani, na kiongozi shahidi wa wanyonge, Ayatollah Al-udhma Sayyid Ali Husseini Khamenei (ra), ndani ya haram…
-
VideoVideo | Mazishi ya kishujaa na ya heshima ya mwili wa kiongozi shahidi wa umma ndani ya haram takatifu ya Imam Hussein (as)
Dakika za kishujaa na za heshima wakati wa mazishi ya kiongozi shahidi wa Mapinduzi ya Kiislamia ndani ya haram takatifu na yenye nuru ya Imam Hussein (as). 18/04/1405 H.S sawa na July 9 2026.
-
VideoVideo | Mwili mtukufu wa kiongozi huyo shahidi na mpigania haki ukiingizwa ndani ya kaburi la pembe sita la Sayyid al-Shuhada (as) ukiwa umebebwa na waombolezaji
Mwili mtukufu wa kiongozi huyo shahidi na mpigania haki uliingizwa ndani ya kaburi la pembe sita la Sayyid al-Shuhada (as) huku ukiwa umebebwa na waombolezaji.
-
VideoVideo | Muonekano wa umati mkubwa wa watu katika mazishi ya kiongozi wa umma huko Karbala
Umati mkubwa wa waombolezaji huko Karbala ulikuwa ukisubiri kwa masaa mengi katika hali ya joto ili kushuhudia kuwasili kwa jeneza la kiongozi shahidi katika eneo la Bayna al-Haramayn,Karbalaa.
-
VideoVideo| Wakati jeneza la kiongozi shahidi linaingizwa ndani ya haram takatifu ya Imam Hussein (as) likiwa limebebwa na waombolezaji
Baada ya masaa mengi ya matembezi ya usindikizaji katika mji mtukufu wa Karbala, mwili mtukufu wa kiongozi huyo shahidi na mpigania haki ulizungushwa ndani ya haram ya Imam Hussein (as) huku…
-
VideoVideo | Wananchi wa Iraq wamemwagia maua jeneza la kiongozi shahidi
Wananchi wa Iraq wamemwagia maua jeneza la kiongozi shahidi katika mitaa ya Karbala.
-
DuniaMakabila ya Iraq Yajitokeza kwa Wingi Karbala Kuupokea Mwili Mtukufu wa Imam Khamenei + Picha
Hawza/ Wakati muda wa mazishi ya mwili mtukufu wa Ayatullah al-Udhma Sayyid Ali Khamenei ukikaribia, misafara ya makabila kutoka mikoa mbalimbali ya Iraq imeanza kuelekea kwa wingi katika mji…
-
DuniaFamilia ya Kiongozi Shahidi Imam Khamenei Yaagwa katika Haram ya Hadhrat Abal-Fadhl al-Abbas (as) + Picha
Hawza/ Haram Tukufu ya Abbasiyya imeshuhudia hafla ya kuaga na kusindikiza miili mitukufu ya familia ya Imam Shahidi Sayyid Ali Khamenei (Radhi za Mwenyezi Mungu ziwe juu yake).
-
DuniaNajaf na Karbala; Wananchi wa Iraq Washiriki Kwa Wingi katika Hafla ya Kihistoria ya Mazishi ya Kiongozi Shahidi wa Umma
Hawza/ Najaf Ashraf leo imeshuhudia ushiriki mkubwa na wa kipekee wa makundi mbalimbali ya wananchi wa Iraq katika hafla ya kihistoria ya mazishi ya Imam Sayyid Ali Khamenei na familia yake ya…
-
Khatibu wa Swala ya Idi mjini Karbala Iraq:
DuniaMisimamo ya Wairaq katika nyakati za shida ni dhihirisho la uhalisia wa mshikamano wao na kuitikia wito wa Marjaiyya
Hawza/ Hujjatul Islam Sheikh Salah Al-Karbalaei alisisitiza kuwa; misimamo ya taifa la Iraq katika mazingira magumu ni dhihirisho la uhalisia wa mshikamano wao kwa taifa lao na ni mwitikio unaostahili…
-
Ayatullah Shab-Zendadar:
HawzaTablighi na ufafanuzi ni kiungo cha kukamilisha malengo ya Qiyamu ya Sayyid al-Shuhadaa (a.s)
Hawza/ Katibu wa Baraza Kuu la Hawza, huku kufafanua jukumu la kiasili la hawza katika uwanja wa tablighi, amebainisha kuwa, kuwatuma wahubiri katika minasaba ya kidini ni mfano halisi wa kutekeleza…
-
DuniaTuzo ya Kumi na Moja ya Kimataifa ya Arbaeen yatamatika huko Karbala Tukufu
Hawza/ Tuzo ya Kumi na Moja ya Kimataifa ya Arbaeen, kwa kuwatunuku washindi na kusisitiza nafasi kuu ya sanaa na vyombo vya habari katika kusambaza ujumbe wa Ashura duniani, imehitimisha shughuli…
-
DuniaBibi Zaynab (sa): Shujaa alie okoa maisha ya Imam Sajjad (as) dhidi ya Yazidi
Hawza/ Bibi Zaynab (sa) alikuwa mwanamke mwenye akili, ujasiri na subira ya kipekee; kwa ufahamu kamili wa misukosuko, aliandamana na Imam Hussein (as), na kwa hotuba zake pamoja na uongozi wake…