Israel (11)
-
Video:
VideoKwa kifupi; kilichotokea mapema leo asubuhi katika eneo linalokaliwa, Israel
Kwa kifupi: Kilichotekea leo kupitia vikosi vya jeshi la Irani katika ardhi iliyokaliwa kimamabavu na Israeli. Mashambulizi haya yalikuwa kwa kiwango cha juu kuliko mashambulizi ya awali.
-
Vyombo vya habari vya Kiebrania vimeripoti:
DuniaSoko haramu la tiketi za ndege kwa ajili ya kuikimbia Israel
Hawza/ Idadi ya Wazayuni wanaojaribu kukimbia kutoka Palestina iliyokaliwa kwa mabavu imeongezeka kwa kiwango kikubwa. Hata hivyo, kutokana na mashambulizi ya makombora kutoka Yemen, mashirika…
-
Baraza kuu la usalama wa Taifa:
DuniaKama utawala wa Kizayuni utafanya kosa lolote lile, basi wafahamu kwamba, Vinu vilivyo fichwa vya Nyuklia vya Utawala huo vipo kwenye lengo la vikosi vya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran
Hawza/ Baraza Kuu la Usalama wa Taifa limetoa taarifa kufuatia operesheni tata za kijasusi za askari wa Imam Zaman kwa kusema: Endapo utawala wa Kizayuni utafanya tukio lolote la mashambulizi,…
-
DuniaMakumi ya safari za ndege zafutwa katika viwanja visivyo salama vya Ndege vya Israel; Mdororo Mkubwa Upo Njiani!
Hawza/ Vyombo vya habari vya Kiebrania vimeripoti kuhusiana na ongezeko kubwa la bei za safari za ndege kwa wale wanaokimbia kutoka Israel na kushuka kwa bei za tiketi za kurejea nchini humo.
-
DuniaViongozi na Taasisi za Kiislamu Uingereza Wamemtaka Waziri Mkuu Kusitisha Mazungumzo ya Kibiashara na Israel
Hawzah/ Viongozi na taasisi za Kiislamu nchini Uingereza wametaka kusitishwa kwa mazungumzo ya kibiashara kati ya Uingereza na Israel, na katika barua ya pamoja kwa Waziri Mkuu, wameelezea hali…
-
DuniaRais wa Baraza la Maulamaa wa Kishia Pakistan: Israeli ni utawala wa kimabavu, usio halali na ni tishio kwa amani ya dunia
Hawza/ Hujjatul-Islam wal-Muslimin Sayyid Sajid Ali Naqvi, katika ujumbe wake kwenye mnasaba wa Siku ya Nakba (15 Mei), amelieleza utawala wa Kizayuni kuwa ni utawala wa kunyang’anya kwa nguvu…
-
DuniaPingamizi kutoka kwenye Familia za Mateka wa Kizayuni dhidi ya Netanyahu: Malizeni Vita
Familia za mateka wa utawala batili wa Kizayuni kupitia maandamano, walidai kuachiliwa kwa mateka hao na kusema: "Hatuafikiani na kauli za Netanyahu zinazopendelea kuendelezwa kwa vita badala…
-
DuniaTunaihesabu Uingereza kama mshirika mkuu wa Israel/ Simamisheni uuzaji wa silaha kwa Israel!
Israel tangia tarehe 2 Machi imefunga njia zote za kuingilia Ukanda wa Ghaza, na licha ya ripoti nyingi kuhusiana na njaa kali inayosababishwa na kivuli cha vita, Israel bado imezuia kuingia…
-
DuniaIsrael yaishambulia kwa mabomu meli iliyokuwa imebeba misaada ya kibinadamu kwa ajili ya watu wa Ghaza
Wanaharakati wa Kiswidi wa haki za binadamu wamethibitisha kuwa meli hiyo imeshambuliwa kwa mabomu na ndege za kivita za Israel, na kwamba akiba yote ya chakula Ghaza imekwisha kabisa, hali ya…
-
DuniaHispania, kutokana na shinikizo la wananchi, imefuta mkataba wa uuzaji wa silaha kwa Israel
Uhispania, kutokana na shinikizo la wananchi na baadhi ya maafisa wa serikali, imefuta kwa upande mmoja mkataba wa dola milioni 7.8 wa uuzaji silaha kwa Israel.
-
HawzaMaulamaa wa Pakistan wasisitiza kuhusu mapambano dhidi ya Israel na kuzuiwa kikamilifu Bidhaa za mazayuni
Kikao cha Kitaifa cha Palestina kimefanyika kwa ushiriki wa maulamaa mashuhuri na viongozi wa kidini katika Kituo cha Kitamaduni cha Urafiki kati ya Pakistan na China mjini Islamabad.