Imamu wa Ijumaa wa Qum (4)
-
Ayatullah Saidii katika Swala ya Ijumaa ya Qum alisema:
DuniaNjia sita za kukabiliana na vita mchanganyiko vya adui katika ujumbe wa mwisho wa Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi
Hawza/ Khatibu wa Swala ya Ijumaa ya Qum alisema: Adui ameielekeza nguvu yake katika maeneo mawili nyeti na ya kimkakati, na Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi ametoa njia sita za kukabiliana nayo ambazo…
-
DuniaSimulizi ya Imamu wa Swala ya Ijumaa wa Qom Iran, kuhusu usiku wa kuchaguliwa Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi/ Kutii na kutekeleza amri za kiongozi ni wajibu wa kisheria
Hawza/ Khatibu wa swala ya Ijumaa mjini Qom alisema: Baraza la Wataalamu wa Uongozi lilikutana usiku wa tarehe 19 Ramadhani, mmoja wa wajumbe wa ofisi ya Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi ya Kiislamu…
-
Ayatullah Saeedi katika Swala ya Ijumaa ya Qum:
DuniaHatutaondoka barabarani mpaka adui ashindwe kikamilifu
Hawza/ Khatibu wa Swala ya Ijumaa ya Qum, huku akirejelea umuhimu wa uwepo wa wananchi mitaani, alisema: Leo kwa amri ya Walii Faqihi hatutaondoka mitaani mpaka tutakapowapigisha magoti maadui…
-
Ayatullah Arafi katika hotuba za Swala ya Ijumaa alifafanua:
HawzaMakosa 14 ya kimahesabu aliyoyafanya adui katika vita vya kulazimishwa vya Ramadhani
Hawza/ Khatibu wa Swala ya Ijumaa wa Qum alielezea makosa 14 ya kimahesabu yaliyofanywa na adui katika vita vya Ramadhani, na kusisitiza kwamba; makosa hayo yamewaweka katika mashinikizo makubwa…