Imam Musa Sadr (4)
- 
                                        
                                        DuniaMjumbe wa Kikundi cha Muqawama: Sisi kwa hakika tunayahitaji mno mawazo na mtazamo wa Imam Musa Sadr ili kukabiliana na adui wa Kizayuni na maadui wa ndani
Hawza/ Jumuiya ya Vituo vya Kiutamaduni vya Imam Khomeini imeadhimisha kumbukumbu ya kupotea kwa Imam Musa Sadr pamoja na wenzake wawili katika makao yake makuu mjini Sur.
 - 
                                        
                                        DuniaImamu wa Ijumaa wa Beirut: Kutoweka kwa Imam Musa Sadr kutokana na nafasi yake ya kuunganisha na kuunga mkono malengo ya haki ni pigo kubwa
Hawza/ Hujjatul-Islam wal-Muslimin Sayyid Ali Fadhlallah alisema: “Kutoweka kwa Imam Musa Sadr, kutokana na nafasi yake ya kuleta umoja wa kitaifa na Kiislamu, pamoja na kuunga mkono malengo…
 - 
                                        
                                        DuniaSheikh Ahmad Qabalan: Dhamira ya Imam Musa Sadr ilikuwa ni mamlaka ya Lebanon, ushirikiano wa Kiislamu na Kikristo na maelewano kati yao
Hawzah/ Sheikh Ahmad Qabalan, Mufti mashuhuri wa Ja‘fari, kutokana na mnasaba wa kumbukumbu ya kutekwa Imam Sayyid Musa Sadr na wenzake wawili, ametoa ujumbe
 - 
                                        
                                        DuniaSheikh Hassan Abdullah: Imam Musa Sadr katika maisha yake aliakisi dhana ya Karbala na njia ya Mitume na Mawalii
Hawzah/ Harakati ya Amal, kutokana na mnasaba wa kumbukumbu ya kutoweka kwa Imam Sayyid Musa Sadr, iliandaa hafla katika mji wa Burj Rahal