Hamas (10)
-
DuniaMsemaji wa Hamas: Iran Inajitahidi Kusitisha Vita vya Ghaza
Hawza/ Hazem Qassem, msemaji wa Harakati ya Hamas, amesema kwamba: Iran imeifikishia harakati hiyo juhudi zake za kidiplomasia za kumaliza migogoro katika eneo, ikiwemo vita vya Ghaza.
-
DuniaHarakati ya Hamas yashukuru mashambulizi ya Yemen na Iran dhidi ya utawala wa Kizayuni
Hawza/ Harakati ya Muqawama wa Kiislamu “Hamas” imepongeza majibu ya Iran na Yemen dhidi ya utawala wa Kizayuni na uhalifu wake dhidi ya Lebanon na wananchi wa nchi hiyo.
-
DuniaGhaza Yamsindikiza Muhammad Odeh, Mmoja wa Makamanda wa “Vikosi vya Qassam”
Hawza/ Wapalestina katika mji wa Ghaza wameusindikiza mwili wa Muhammad Odeh maarufu kwa jina la “Abu Amr”, mmoja wa makamanda waandamizi wa “vikosi vya Izzuddin Qassam”, pamoja na mwili wa mke…
-
Kamanda Mkuu wa Sepah:
DuniaKupata shahada Izzuddin Al-Haddad kumeweka wazi uvunjaji wa ahadi na usaliti wa wavamizi
Hawza/ Kamanda Mkuu wa Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu katika ujumbe wake kutokana na mnasaba wa kupata shahada Izzuddin Al-Haddad, kamanda wa Brigedi ya Izzuddin Al-Qassam, alisisitiza:…
-
Harakati ya Nujabaa ikiwasemesha watawala wa Kiarabu:
DuniaJifunzeni kutokana na shambulio dhidi ya Qatar; nyinyi kwa maridhiano hamtakuwa salama kutokana na madhara ya Israeli
Hawza/ Harakati Nujabaa katika tamko lake, imelaani shambulio dhidi ya makao ya Hamas huko Doha na ikatoa onyo kwamba maridhiano na utawala wa Kizayuni hayaleti usalama kwa tawala za Kiarabu.
-
Jumuiya ya Wanazuoni Waislamu:
DuniaShambulizi la adui huko Doha linadhoofisha mamlaka ya Qatar, na Jumuiya ya kimataifa lazima ilaani tendo hili la kigaidi
Hawza/ Jumuiya ya Wanazuoni Waislamu wa Lebanon imesema kuwa: adui Mzayuni anaendelea na uvamizi wake na umefikia hatua ya kutaka kuwaua viongozi wa Hamas waliokuwa na jukumu la kusimamia mazungumzo.
-
DuniaHarakati ya Umma yalaani kukengwa viongozi wa Hamas huko Doha
Hawza/ Harakati ya Umma nchini Lebanon imelaani vikali uvamizi wa Kizayuni dhidi ya kikao cha viongozi wa Harakati ya Muqawama wa Kiislamu Hamas kilichofanyika mjini Doha, mji mkuu wa Qatar.
-
DuniaHarakati ya Tawhidi al-Islami: Shambulio dhidi ya Qatar ni mwendelezo wa siasa ya uhalifu ulioandaliwa na ugaidi wa kiserikali unaoungwa mkono na Marekani
Hawza / Harakati ya Tawhidi al-Islami ya Lebanon katika tamko lake imesema: “Shambulio la Israel ni mwendelezo wa siasa ya uhalifu ulioandaliwa na hatua inayoeleweka kuelekea ugaidi wa kiserikali…
-
DuniaSheikh Qabalan: Marekani ni mshirika kamili wa Israel katika uhalifu wake wote
Hawza / Sheikh Ahmad Qabalan, Mufti Mkuu wa Ja‘fari wa Lebanon, katika tamko lake amesema: “Kwa nguvu zote na kwa uthabiti, tunalaani vikali ugaidi wa Kizayuni na unyama wa Israel.”
-
DuniaHizbullah: Shambulio lililofanywa na utawala wa Kizayuni mjini Doha limeonesha dhamira yake ya kweli ya kuendeleza vita na mauaji ya kimbari
Hawza / Hizbullah ya Lebanon imelaani shambulio la ghafla na la khiyana la utawala wa Kizayuni dhidi ya ujumbe wa uongozi wa Harakati ya Muqawama ya Kiislamu (Hamas) wakati wa kikao kilichokuwa…