-
DuniaSheikh Jalala Afanya Ziyara Maalumu kwa Mlezi wa Jumuiya ya Shia TIC Mwanza, Apongeza Juhudi za Kuitumikia Jamii
Hawzah/ Tarehe 05 Septemba 2026, Sheikh Mkuu wa Jumuiya ya Shia Tanzania (TIC), Maulana Sheikh Hemed Jalala Mwakindenge, amefanya ziyara maalumu kwa Mlezi wa Jumuiya ya Shia TIC Mwanza na Mwenyekiti…
-
DuniaLondon Yaandaa Maonesho ya Kihistoria ya Sanaa Yanayohusu Historia ya Waislamu wa Ulaya
Hawza/ Maonesho ya sanaa ya Shahid Salim yanaonesha mapazia yenye rangi mbalimbali yanayoakisi nyakati muhimu za kihistoria kwa Waislamu wa Uingereza na Ulaya.
-
Naibu Rais wa Baraza la Wanazuoni wa Kiislamu Afrika Kusini:
DuniaMapinduzi ya Kiislamu ya Iran Yalikuwa Chanzo cha Hamasa kwa Wananchi wa Afrika Kusini
Hawza/ Naibu Rais wa Baraza la Wanazuoni wa Kiislamu la Afrika Kusini, huku akisisitiza kwamba Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran yalikuwa chanzo cha hamasa kwa harakati za kupigania uhuru nchini…
-
HawzaAyatullah A’rafi Abainisha Mambo 10 ya Kimkakati Kuelekea Mwaka Mpya wa Masomo ya Hawza/ Tuchukue Kiaga Cha Kulingania kwa Mwenyezi Mungu
Hawza/ Mkurugenzi wa Hawza nchini Iran, amesema kuwa Hawza zinapaswa kutekeleza ipasavyo jukumu lake la kihistoria kwa kutambua kwa usahihi mazingira ya zama, mahitaji ya jamii na mabadiliko…
-
DuniaHawzah ya Ayatullah Ka'dhimi Yafunguliwa Mjini Ka'dhimain; Hatua Mpya katika Kukuza Elimu za Hawza
Hawza/ Jiji takatifu la Ka'dhimain Iraq, limeshuhudia hafla ya uzinduzi wa “Hawza ya Ayatullah Sheikh Muhammad Hussein Ka'dhimi” kwa ajili ya masomo ya elimu za Hawza, iliyofanyika jirani na…
-
DiniHadithi ya Leo | Malipo Tele Kutokana na Amali Ndogo
Hawza/ Imam Jaafar Swa'diq (as) katika riwaya moja ameashiria fadhila na malipo makubwa kutoka kwa Mwenyezi Mungu kumuelekea mja wake ambae anafanya amali ndogo kwa ikhlasi.
-
DuniaMaulana Sheikh Jalala Ahimiza Waislamu Kuendeleza Vikao vya Maulidi, Dua na Dhikri
Hawza/ Tarehe 04 Septemba 2026, Sheikh Mkuu wa Jumuiya ya Shia Tanzania (TIC), Maulana Sheikh Hemed Jalala Mwakindenge, amehudhuria hafla ya Maulidi iliyofanyika jijini Mwanza, katika mwendelezo…