Jumanne 28 Julai 2026
  • Nyumbani
  • Habari zote
  • Hawza
  • Dunia
  • Dini
    • Hadithi
    • Kitabu na Makala
    • Sheria za Kiislamu
    • Maswali na Majibu
    • Maadili ya Kiislamu
  • Picha
  • Video
  • Kuhusu sisi
filterHabari za leo
  • Sera ya kuiangamiza Palestina imegeuzwa na Israel kuwa mkakati wa kimfumo

    Mwandishi Maalumu wa Umoja wa Mataifa:

    DuniaSera ya kuiangamiza Palestina imegeuzwa na Israel kuwa mkakati wa kimfumo

    Hawza/ Mwandishi Maalumu wa Umoja wa Mataifa anayeshughulikia masuala ya haki za binadamu nchini Palestina ameonya kuhusu kuongezeka kwa mashambulizi ya jeshi la utawala wa Kizayuni na walowezi…

    2026-07-28 08:06
  • Pendekezo la kutuma ujumbe wa rambirambi kwa Marekani lazua mvutano katika Bunge la Jordan

    DuniaPendekezo la kutuma ujumbe wa rambirambi kwa Marekani lazua mvutano katika Bunge la Jordan

    Hawza/ Pendekezo la mmoja wa wabunge wa Jordan la kutuma ujumbe wa rambirambi kwa Bunge la Marekani (Congress) kufuatia kuuawa kwa wanajeshi kadhaa wa Marekani katika shambulio dhidi ya kambi…

    2026-07-28 07:06
  • Kiongozi Shahidi alikuwa anilinda heshima na matukufu ya Uislamu

    Mwanazuoni wa Ahlu Sunna kutoka Pakistan:

    DuniaKiongozi Shahidi alikuwa anilinda heshima na matukufu ya Uislamu

    Hawza/ Mufti Sayyid Ashiq Hussein amesema: “Kiongozi Shahidi, Ayatullah al-Udhma Sayyid Ali Khamenei, kwa ustahimilivu na msimamo wake wa kipekee, alitekeleza jukumu la kudumu katika kulinda…

    2026-07-28 06:06
  • Harakati ya Imam Hussein (as) ni mradi wa milele wa kupambana na dhulma

    Mkurugenzi wa Ataba Tukufu ya Imam Hussein (as):

    DuniaHarakati ya Imam Hussein (as) ni mradi wa milele wa kupambana na dhulma

    Hawza/ Hassan Rashid Jawad Al-Abayiji, amesisitiza kuwa; kadhia ya Palestina leo ndio dhihirisho hai la mwendelezo wa ujumbe wa Imam Hussein (as) wa kuwanusuru wanaodhulumiwa na kuutetea ukweli.

    2026-07-28 05:06
  • Chuo Kikuu cha Al-Zahra mjini Karbala chawa mwenyeji wa Kongamano la Tano la Kimataifa la “Ulingano wa al-Aqsa”

    DuniaChuo Kikuu cha Al-Zahra mjini Karbala chawa mwenyeji wa Kongamano la Tano la Kimataifa la “Ulingano wa al-Aqsa”

    Hawza/ Chuo Kikuu cha Al-Zahra mjini Karbala kilikuwa mwenyeji wa Kongamano la Tano la Kimataifa la “Nidaa al-Aqsa”, lililohudhuriwa na wajumbe na shakhsia kutoka nchi mbalimbali.

    2026-07-28 03:01
  • Ayatullah A'rafi atembelea nyumba ya Marehemu Ayatullah al-Udhma Fayyadh

    DuniaAyatullah A'rafi atembelea nyumba ya Marehemu Ayatullah al-Udhma Fayyadh

    Hawza/ Mkurugenzi wa Hawza nchini Iran, akiendelea na ziara yake nchini Iraq, alitembelea nyumba ya Marehemu Ayatullah al-Udhma Sheikh Is'haq Fayyadh, mmoja wa Marajii Wakuu wa Taqlidi nchini…

    2026-07-28 02:01
  • Ayatullah A'rafi asisitiza kuwa, Iran itaendelea kuiunga mkono Palestina

    Katika Kongamano la “Ulingano wa al-Aqsa” mjini Karbala:

    DuniaAyatullah A'rafi asisitiza kuwa, Iran itaendelea kuiunga mkono Palestina

    Hawza/ Ayatullah A'rafi katika hotuba yake kwenye kikao cha ufunguzi wa Kongamano la Tano la Kimataifa la “Nidaa al-Aqsa” lililofanyika Karbala, alisisitiza kuendelea kwa uungaji mkono wa Jamhuri…

    2026-07-28 01:06

Ufikaji wa haraka

  • Nyumbani
  • Habari zote
  • Hawza
  • Dunia
  • Dini
  • Picha
  • Video
  • Kuhusu sisi

Chagua lugha

  • Kiswahili
  • فارسی
  • English
  • العربیة
  • اردو
  • Français
  • हिन्दी
  • বাংলা
  • Türkçe
  • Русский
  • Español
  • Azərbaycan
  • Italiano
  • Hausa
  • indonesia
  • 中文

Mitandao ya kijamii

Haki zote za tovuti hii zimehifadhiwa kwa ajili ya shirika la habari la Hawza.

Kueneza yaliyomo katika shirika la habari la Hawza kwenye mashirika ya habari mengine inafaa pasi na kipingamizi.

sw.hawzahnews.com. All rights reserved

Nastooh Saba Newsroom