Jumanne 18 Novemba 2025
  • Nyumbani
  • Habari zote
  • Hawza
  • Dunia
  • Dini
    • Hadithi
    • Kitabu na Makala
    • Sheria za Kiislamu
    • Maswali na Majibu
    • Maadili ya Kiislamu
  • Picha
  • Video
  • Kuhusu sisi
filterHabari za leo
  • Kuhuisha Masiku ya F'atwimiyya ni Utumishi Ulio Mkubwa Zaidi

    Ayatullah al-Udhma Wahid Khorasani:

    DiniKuhuisha Masiku ya F'atwimiyya ni Utumishi Ulio Mkubwa Zaidi

    Hawza/ Ayatullah Wahid Khorasani walisema: “Utumishi ulio mkubwa zaidi siku hizi ni kuhuisha masiku ya bibi Fatimah. Jambo la Bibi Zahra (amani ya Mwenyezi Mungu iwe juu yake) lina upekee kwa…

    2025-11-18 17:40
  • Wajibu wetu wa kitaifa na wa kisheria unatiwajibisha kuitetea ardhi yetu

    Mwakilishi wa Bunge la Lebanon:

    DuniaWajibu wetu wa kitaifa na wa kisheria unatiwajibisha kuitetea ardhi yetu

    Hawza/ Ali Kharis, mjumbe wa Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Amal na mwakilishi wa Bunge la Lebanon, amesisitiza kuwa uchaguzi wa bunge utafanyika kwa mujibu wa sheria iliyopo na katika muda…

    2025-11-18 17:33
  • Ushindi wa Iran katika vita vya siku 12 umetokana na uwezo wa ndani na uongozi wenye hekima

    Imamu wa Ijumaa wa Michigan:

    DuniaUshindi wa Iran katika vita vya siku 12 umetokana na uwezo wa ndani na uongozi wenye hekima

    Hawza/ Imamu wa Ijumaa wa Michigan ameeleza kuwa ushindi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika vita vya siku kumi na mbili ni ishara ya kutegemea uwezo wa ndani pamoja na uongozi wenye hekima…

    2025-11-18 17:29
  • Istanbul yaandaa kumbukizi ya Allamah Tabataba’i (ra)

    DuniaIstanbul yaandaa kumbukizi ya Allamah Tabataba’i (ra)

    Hawza/ Katika semina iliyoandaliwa kutokana na juhudi za “Aka­d­emi ya Kawthar”, mtafiti na mwandishi kutoka Uturuki, Bwana Musa Güneş, alitoa muhadhara na kuchambua nafasi na mchango wa Allamah…

    2025-11-18 17:23
  • Muungano wa Muqawam kutoka Palestina hadi Caracas na Havana; Jiografia Tatu dhidi ya Ubeberu wa Magharibi

    DuniaMuungano wa Muqawam kutoka Palestina hadi Caracas na Havana; Jiografia Tatu dhidi ya Ubeberu wa Magharibi

    Hawza/ Katika mazingira ambayo vita, vikwazo na mzingiro vimekuwa nyenzo endelevu za nguvu za mataifa ya Magharibi, mataifa matatu—Palestina, Venezuela na Cuba—pamoja na umbali wa kijiografia…

    2025-11-18 17:16
  • Maduro: Kuitetea Palestina ni jukumu la kihistoria na tukufu

    DuniaMaduro: Kuitetea Palestina ni jukumu la kihistoria na tukufu

    Hawza/ Rais wa Venezuela, katika maadhimisho ya mwaka wa kuadhimishwa kwa tangazo la uhuru wa Palestina, amesisitiza msimamo thabiti na wa kihistoria wa Caracas katika kuutetea mustakabali wa…

    2025-11-18 17:09
  • Njia za Kumtambua Imam (a.s.)

    Kuielekea Jamii Bora: Tafiti za Mahdawiya (56)

    DiniNjia za Kumtambua Imam (a.s.)

    Hawza/ Bila shaka mojawapo ya majukumu muhimu ya waja mbele ya Mola wao ni kumjua huyo Mwenye Hadhi Tukufu. Maarifa haya hufikia ukamilifu wakati Mitume wa Mungu – hasa hasa Mtume wa Mwisho (s.a.w.w)…

    2025-11-18 16:52
  • Katika Mkutano wa “Amani Duniani” uliofanyika Jakarta Imesemwa Kwamba: Hakuna amani inayodumu bila nguvu

    DuniaKatika Mkutano wa “Amani Duniani” uliofanyika Jakarta Imesemwa Kwamba: Hakuna amani inayodumu bila nguvu

    Hawza/ Hujjatul-Islam wal-Muslimin Hamid Shahriari, Katibu Mkuu wa Taqrib baina ya Madhehebu ya Kiislamu, katika Mkutano wa Tisa wa Kimataifa wa “Amani Duniani” uliofanyika Jakarta, alibainisha…

    2025-11-18 01:07
  • Sheikh Al-Khatib: Sisi Hatutajisalimisha

    DuniaSheikh Al-Khatib: Sisi Hatutajisalimisha

    Hawza/ Makamu wa Rais wa Baraza Kuu la Kiislamu la Kishia nchini Lebanon alisema: Kudhalilisha sura ya dhehebu la Kishia nchini Lebanon ni njama dhidi ya Lebanon. Tulishika silaha kwa kuwa hakukuwa…

    2025-11-18 01:01

Ufikaji wa haraka

  • Nyumbani
  • Habari zote
  • Hawza
  • Dunia
  • Dini
  • Picha
  • Video
  • Kuhusu sisi

Chagua lugha

  • Kiswahili
  • فارسی
  • English
  • العربیة
  • اردو
  • Français
  • हिन्दी
  • বাংলা
  • Türkçe
  • Русский
  • Español
  • Azərbaycan

Mitandao ya kijamii

Haki zote za tovuti hii zimehifadhiwa kwa ajili ya shirika la habari la Hawza.

Kueneza yaliyomo katika shirika la habari la Hawza kwenye mashirika ya habari mengine inafaa pasi na kipingamizi.

sw.hawzahnews.com. All rights reserved

Nastooh Saba Newsroom