Jumapili 24 Agosti 2025

  • Nyumbani
  • Habari zote
  • Hawza
  • Dunia
  • Dini
    • Hadithi
    • Kitabu na Makala
    • Sheria za Kiislamu
    • Maswali na Majibu
    • Maadili ya Kiislamu
  • Picha
  • Video
  • Kuhusu sisi
filterHabari za leo
  • Imam ni kioo cha rehema isiyo na kikomo ya Mwenyezi Mungu

    “Kuielekea Jamii Bora” (mkusanyiko wa utafiti kuhusiana na Imam Mahdi (as) – 40

    DiniImam ni kioo cha rehema isiyo na kikomo ya Mwenyezi Mungu

    Hawza/ Imam zaman (as) ingawa yupo kwenye ghaiba, lakini ni wingu la rehema linaloendelea kunyesha daima na kulipa uhai na bashasha jangwa kavu la watu, na ni mwenye kunyimika yule ambaye hatanusa…

    2025-08-24 00:53
  • Haya ndiyo makundi matano mabayo hayatapata shafa'a (Uombezi siku ya kiyama)

    DiniHaya ndiyo makundi matano mabayo hayatapata shafa'a (Uombezi siku ya kiyama)

    Hawza / Riwaya za Kiislamu hazijaihesabu shafa'a kwenye makundi matano: makafiri, washirikina, wanafiki, wakanushaji wa shafa'a, na wale wanaoibeza Swala. Imam Swadiq (a.s) kwa msisitizo alisema…

    2025-08-24 00:42
  • Imamu wa Ijumaa Najafu Ashraf, Akosoa kuhusiana na kuenezwa baadhi ya upotovu wa kidini na kimaadili katika majlisi za Huseini

    DuniaImamu wa Ijumaa Najafu Ashraf, Akosoa kuhusiana na kuenezwa baadhi ya upotovu wa kidini na kimaadili katika majlisi za Huseini

    Hawza / Hujjatul-Islam wal-Muslimin Sayyid Sadruddin Qubanchi alisema: “Tunaamini kuwa Hashd al-Sha‘bi ni nukta ya nguvu ya Iraq na Hashd al-Sha‘bi ni alama ya heshima na fahari ya Iraq, kuvunjwa…

    2025-08-24 00:36
  • Jeshi la Yemen lashambulia Uwanja wa Ndege wa Ben Gurion na malengo mawili ya adui Mwisraeli huko Yafa na Asqalan

    DuniaJeshi la Yemen lashambulia Uwanja wa Ndege wa Ben Gurion na malengo mawili ya adui Mwisraeli huko Yafa na Asqalan

    Hawza / Jeshi la Yemen limetangaza kufanikisha operesheni tatu kwa kulenga Uwanja wa Ndege wa “Ben Gurion” ulioko katika eneo la uvamizi wa Yafa na malengo mawili ya adui Mwisraeli katika ardhi…

    2025-08-24 00:29
  • Mkusanyiko mkubwa wafanyika Mumbai kwa ajili ya kuliunga mkono taifa la Palestina

    DuniaMkusanyiko mkubwa wafanyika Mumbai kwa ajili ya kuliunga mkono taifa la Palestina

    Hawza / Raia wa Mumbai wakiwa pamoja na viongozi wa kisiasa, maulamaa, wanaharakati wa kijamii na wasanii, walikusanyika kwa wingi katika uwanja wa Azad wa mji huo, sambamba na kutangaza mshikamano…

    2025-08-24 00:26
  • Mwanazuoni mashuhuri wa Kashmiri: Shahada ni kilele cha ubinadamu na ngome imara mbele ya dhulma na ufisadi

    DuniaMwanazuoni mashuhuri wa Kashmiri: Shahada ni kilele cha ubinadamu na ngome imara mbele ya dhulma na ufisadi

    Hawza/ Hujjatul-Islam Sayyid Hadi Musawi, katika maelezo yake kuhusu falsafa ya shahada, alifafanua daraja tukufu la shahidi na kusisitiza umuhimu wa kujitolea, kusimama imara dhidi ya dhulma…

    2025-08-24 00:18

Ufikaji wa haraka

  • Nyumbani
  • Habari zote
  • Hawza
  • Dunia
  • Dini
  • Picha
  • Video
  • Kuhusu sisi

Chagua lugha

  • Kiswahili
  • فارسی
  • English
  • العربیة
  • اردو
  • Français
  • हिन्दी
  • বাংলা
  • Türkçe
  • Русский
  • Español
  • Azərbaycan

Mitandao ya kijamii

Haki zote za tovuti hii zimehifadhiwa kwa ajili ya shirika la habari la Hawza.

Kueneza yaliyomo katika shirika la habari la Hawza kwenye mashirika ya habari mengine inafaa pasi na kipingamizi.

sw.hawzahnews.com. All rights reserved

Nastooh Saba Newsroom