Jumamosi 12 Julai 2025

  • Nyumbani
  • Habari zote
  • Hawza
  • Dunia
  • Dini
    • Hadithi
    • Kitabu na Makala
    • Sheria za Kiislamu
    • Maswali na Majibu
    • Maadili ya Kiislamu
  • Picha
  • Video
  • Kuhusu sisi
filterHabari za leo
  • Kukubali mazungumzo na adui ni kutokuamini ahadi za Mwenyezi Mungu

    Ayatollah Rajabiy asema:

    HawzaKukubali mazungumzo na adui ni kutokuamini ahadi za Mwenyezi Mungu

    Hawza/ Rais wa Taasisi ya Imam Khomeini (rah) amesema: Kukubali kufanya mazungumzo na adui ni ushahidi wa wazi wa kutokuamini ahadi ya nusura ya Mwenyezi Mungu na kutokujua kwa hakika njama za…

    2025-07-12 00:23
  • Wanafunzi wa Yemeni waanza mwaka mpya wa masomo kwa maandamano ya kuiunga mkono Ghaza

    DuniaWanafunzi wa Yemeni waanza mwaka mpya wa masomo kwa maandamano ya kuiunga mkono Ghaza

    Hawza/ Wanafunzi wa Yemeni hufanya maandamano kila wiki kwa namna ya kishujaa kulaani kimya cha jumuiya ya kimataifa mbele ya mateso ya watu wa Ghaza.

    2025-07-12 00:22
  • Kufanyika kwa maandamano ya kulaani mauaji ya kigaidi dhidi ya Sheikh Shahoud huko Homs, Syria

    DuniaKufanyika kwa maandamano ya kulaani mauaji ya kigaidi dhidi ya Sheikh Shahoud huko Homs, Syria

    Hawza/ Wanaharakati wa Shirika la Uangalizi wa Haki za Binadamu la Syria wamerekodi maandamano katika vitongoji vya Homs yaliyoandaliwa kulaani mauaji ya kigaidi dhidi ya Sheikh Rasul Shahoud,…

    2025-07-12 00:21
  • Taasis za kimataifa zilaani mauaji ya maulamaa wa Kishia nchini Syria / Wahalifu na waungaji mkono wa jinai hii katika kanda hii wanapaswa kuhojiwa

    Ayatollah A’rafi katika kulaani mauaji ya Maulamaa wa Kishia nchini Syria:

    HawzaTaasis za kimataifa zilaani mauaji ya maulamaa wa Kishia nchini Syria / Wahalifu na waungaji mkono wa jinai hii katika kanda hii wanapaswa kuhojiwa

    Hawza/ Mkurugenzi wa hawza Iran amesema kwa kusisitiza: Mimi binafsi naziomba taasisi zote za kimataifa, hasa Umoja wa Mataifa, Baraza la Haki za Binadamu, Kamishna Mkuu wa Haki za Binadamu,…

    2025-07-12 00:20

Ufikaji wa haraka

  • Nyumbani
  • Habari zote
  • Hawza
  • Dunia
  • Dini
  • Picha
  • Video
  • Kuhusu sisi

Chagua lugha

  • Kiswahili
  • فارسی
  • English
  • العربیة
  • اردو
  • Français
  • हिन्दी
  • বাংলা
  • Türkçe
  • Русский
  • Español
  • Azərbaycan

Mitandao ya kijamii

Haki zote za tovuti hii zimehifadhiwa kwa ajili ya shirika la habari la Hawza.

Kueneza yaliyomo katika shirika la habari la Hawza kwenye mashirika ya habari mengine inafaa pasi na kipingamizi.

sw.hawzahnews.com. All rights reserved

Nastooh Saba Newsroom