Jumanne 20 Mei 2025

  • Nyumbani
  • Habari zote
  • Hawza
  • Dunia
  • Dini
    • Hadithi
    • Kitabu na Makala
    • Sheria za Kiislamu
    • Maswali na Majibu
    • Maadili ya Kiislamu
  • Picha
  • Video
  • Wasiliana nasi
  • Kuhusu sisi
filterHabari za leo
  • Siri ya kutokuwa bayana wakati wa kudhihiri Imamu wa Zama (as)

    "Kuielekea Jamii iliyo Bora": (Mfululizo wa utafiti kuhusiana na Imaam Mahdi (a.s)) - 17

    DiniSiri ya kutokuwa bayana wakati wa kudhihiri Imamu wa Zama (as)

    Hawza | Bila shaka yoyote, subira yenye tija ambayo ni miongoni mwa sababu kuu za harakati na uhai inajitokeza tu katika kivuli cha kufichika wakati wa kudhihiri Imam (as).

    2025-05-20 11:50
  • Mufti Mkuu wa Tanzania akutana na wanafunzi wa kitanzania katika ziara yake nchini Morocco

    DuniaMufti Mkuu wa Tanzania akutana na wanafunzi wa kitanzania katika ziara yake nchini Morocco

    Hawza/ Mufti wa Tanzania, Sheikh Abubakr bin Zuber, amekutana na wanafunzi wa kitanzania nchini Morocco na kuweza kufanya nao mazungumzo ya pamoja.

    2025-05-20 11:46
  • Kuwa mwenye kutafuta riziki ya halali

    Hadithi ya leo:

    DiniKuwa mwenye kutafuta riziki ya halali

    Usiache kutafuta riziki kwa njia ya halali; kwani ni auni (msaada) kwa ajili yako katika dini.

    2025-05-20 06:39
  • Iran, Nchi ya Tatu kwa Uzalishaji wa Dawa ya Ugonjwa wa MS Duniani

    DuniaIran, Nchi ya Tatu kwa Uzalishaji wa Dawa ya Ugonjwa wa MS Duniani

    Hawza/ Iran, kwa kufanikisha teknolojia ya uzalishaji wa dawa ya ugonjwa wa MS (Multiple Sclerosis), imetambuliwa kuwa mtengenezaji wa tatu kwa ukubwa wa dawa hii duniani. Mafanikio haya ni hatua…

    2025-05-20 06:36
  • Zakariya al-Sinwar, ndugu wa Shahidi Yahya al-Sinwar, auwawa kishahidi katika kambi ya al-Nusairat.

    DuniaZakariya al-Sinwar, ndugu wa Shahidi Yahya al-Sinwar, auwawa kishahidi katika kambi ya al-Nusairat.

    Hawza/ Zakariya al-Sinwar, ndugu yake Yahya al-Sinwar, ameuawa kishahidi pamoja na wanawe watatu katika shambulio lililo fanywa na utawala wa Kizayuni kwenye kambi ya al-Nusairat katikati mwa…

    2025-05-20 06:35
  • Maafisa wa Haram ya Imamu Husein (a.s) wafanya Ziara katika Ubalozi wa Vatikani ulioko Baghdad

    DuniaMaafisa wa Haram ya Imamu Husein (a.s) wafanya Ziara katika Ubalozi wa Vatikani ulioko Baghdad

    Hawza/ Kwa ushirikiano na Ofisi ya Ushauri ya Wizara ya Mambo ya Nje ya Iraq, Idara ya Masuala ya Kitamaduni, pamoja na Bodi ya Usimamizi ya Sekretarieti ya Haram ya Imamu Husein (a.s), walifanya…

    2025-05-20 06:34
  • Kiongozi Mpya wa Kanisa Katoliki Aapishwa

    DuniaKiongozi Mpya wa Kanisa Katoliki Aapishwa

    Hawza/ Papa Leo wa Kumi na Nne, siku ya Jumapili baada ya kuongoza ibada yake ya kwanza takatifu, alitawazwa rasmi kuwa kiongozi wa Kanisa Katoliki.

    2025-05-20 06:33

Ufikaji wa haraka

  • Nyumbani
  • Habari zote
  • Hawza
  • Dunia
  • Dini
  • Picha
  • Video
  • Wasiliana nasi
  • Kuhusu sisi

Chagua lugha

  • Kiswahili
  • فارسی
  • English
  • العربیة
  • اردو
  • Français
  • हिन्दी
  • বাংলা
  • Türkçe
  • Русский
  • Español
  • Azərbaycan

Mitandao ya kijamii

Haki zote za tovuti hii zimehifadhiwa kwa ajili ya shirika la habari la Hawza.

Kueneza yaliyomo katika shirika la habari la Hawza kwenye mashirika ya habari mengine inafaa pasi na kipingamizi.

sw.hawzahnews.com. All rights reserved

Nastooh Saba Newsroom