Kiongozi wa juu wa kidini na mfasiri maarufu wa Qur’ani Tukufu, huku akisisitiza kuwa kuzama katika bahari kuu ya Qur’ani na Ahlul-Bayt ni risala ya Hawza, alisema: Marehemu Ayatollah al-Udhma…
Hawza; Nakala hii ya kipekee ya Qur'ani Tukufu iliyohifadhiwa kwa maandishi ya mkono ina urefu wa mita 1,250, na imetolewa kama zawadi kuielekea Haram ya Imamu Husein (a.s).
Hawza: Katika matembezi makubwa yaliyoandaliwa mjini Mumbai, wafuasi wa dini na madhehebu tofauti walisimama bega kwa bega na kupaza sauti moja huku wakisema: "Hatutakaa kimya hadi makaburi ya…