Hawaza/ Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dkt. Hussein Ali Mwinyi ameizindua rasmi Kamati ya Kitaifa ya Kusimamia Madrasa Zanzibar.
Hawza/ Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Alhaj Dkt. Hussein Ali Mwinyi amewasisitiza Waislamu, wahisani na wafadhili kuelekeza nguvu zao katika kuziimarisha Madrassa pamoja…
Hawza/ Mufti wa Zanzibar ambae pia ni mwenyekiti wa kamati ya amani Zanzibar, ameongoza kikao cha kamati hiyo huku kikao hicho kikihudhuriwa na Raisi wa Baraza la Mapinduzi Dkt. Hussein Ally…