Uingereza (6)
-
DuniaMaktaba nchini Uingereza yaandaa tukio la “Kuufanyia Utafiti Uislamu”
Hawza / Maktaba ya mji wa Wigan nchini Uingereza itakuwa mwenyeji wa tukio la kitamaduni na kifamilia linaloitwa “Kuutafiti Uislamu”.
-
Shirika la SALAM:
DuniaUingereza Inashirikiana na Watawala wa Bahrain katika Kuwakandamiza Mashia wa Nchi Hiyo
Hawza/ Shirika la “SALAM” limesisitiza kwamba; sera za Uingereza zimechangia kuimarisha mifumo ya ukandamizaji na kutoadhibiwa kwa wahusika nchini Bahrain, badala ya kuleta mageuzi ya kweli katika…
-
DuniaMashirika ya Hisani ya Uingereza Yashutumiwa kwa Kuhamisha Mamilioni ya Dola kwa Walowezi wa Israel
Hawza/ Kufichuliwa kwa uhamishaji wa mamilioni ya pauni kutoka kwa baadhi ya mashirika ya hisani ya Uingereza kwenda kwa taasisi zinazohusishwa na makazi ya walowezi wa Israel kumesababisha wimbi…
-
DuniaMuqtada Sadr, Amjia juu Balozi wa Uingereza
Hawza/ Sayyid Muqtada Sadr, kiongozi wa Harakati ya Kitaifa ya Kishia nchini Iraq, alionsha hasira na kutoridhishwa kwake kutokana na kauli za Irfan Siddiq, Balozi wa Uingereza mjini Baghdad.
-
DuniaUingereza yaweka makundi yanayoiunga mkono Palestina katika orodha ya magaidi!
Hawza/ Mahakama Kuu ya London ilitangaza kwamba; kundi lolote linalochukua hatua za kuiunga mkono Palestina litatambuliwa na serikali ya Uingereza kama kundi la kigaidi na litachukuliwa kuwa…
-
DuniaWaingereza walijitokeza mitaani kupinga ukiukaji wa sitisho la mapigano unaofanywa na Israel
Hawza/ Maandamano makubwa yalifanyika jijini London kupinga uuzaji wa silaha unofanywa na utawala wa Uingereza kwa Israel, na pia kupinga ukiukaji usio wa kibinadamu wa sitisho la mapigano unaofanywa…