Uingereza (6)
-
DuniaWaislamu wa Uingereza hawajihisi kuwa na amani!
Hawzah/ Kwa Waislamu wengi, wakiwemo Waislamu wa Uingereza, tukio la kulipuliwa mabomu tarehe 7 Julai mwaka 2005 linawakumbusha kumbukumbu za majonzi makubwa, na hadi leo linazidi kuwachochea…
-
DuniaKituo cha Utafiti cha Uingereza chaitaka harakati ya kitaifa ya kukabiliana na chuki dhidi ya Uislamu
Hawza/ Ripoti mpya kutoka kituo cha utafiti cha "ICO" nchini Uingereza iliyochapishwa siku ya Jumatatu, imetoa wito kwa serikali ya Uingereza kuandaa sera ya kitaifa iliyoratibiwa kwa ajili ya…
-
DuniaVyama vya siasa vya Ufaransa vyaendelea kutaka kuachiliwa kwa waendesha kampeni wa Meli ya Madeleine
Hawza/ Wajumbe wa mrengo wa kushoto katika Bunge la Ufaransa katika taarifa yao wamesema: Kukamatwa kwa waendesha kampeni za haki za binadamu katika meli ya misaada kuelekea watu wa Ghaza ni…
-
DuniaUingereza kinyume na kauli zake bado inaendelea kuwauzia Israeli Silaha!
Hawza/ Maelfu ya waandamanaji wa Uingereza katika matembezi makubwa, waliitaka serikali kuacha kueneza kauli zisizo na vitendo na kusitisha mauzo ya silaha kwa Israel, hasa vipuri vya ndege ya…
-
DuniaTunaihesabu Uingereza kama mshirika mkuu wa Israel/ Simamisheni uuzaji wa silaha kwa Israel!
Israel tangia tarehe 2 Machi imefunga njia zote za kuingilia Ukanda wa Ghaza, na licha ya ripoti nyingi kuhusiana na njaa kali inayosababishwa na kivuli cha vita, Israel bado imezuia kuingia…
-
DuniaKuzuiwa wanafunzi wanaounga mkono Palestina katika vyuo vikuu vya Uingereza
Maria Ali na Antonia Listert, ni wanafunzi wawili kutoka chuo kikuu cha Birmingham Uingereza, walikutana na mashitaka ya nidhamu kwa sababu ya kuunga mkono watu wa Ghaza na kulaani vitendo vinavyo…