Hawza/ Shirika la Afya Duniani limewaomba watu dunianj kuchukua hatua za haraka kwa ajili ya Ghaza, kwani Ghaza kwa sasa ni mahali ambapo watoto wanakufa kwa kiwango ambacho hakijawahi kushuhudiwa…
Hawza/ Maulamaa mashuhuri wa Bahrain wamelaani vikali kuzingirwa Ghaza na kuwaacha wakiwa na njaa wakazi wake, kitendo ambacho kinafanywa na utawala wa Kizayuni, na pia wamekosoa hali ya baadhi…
Hawza/ Ukanda wa Ghaza, chini ya kuzingirwa vikali na utawala wa Kizayuni pamoja na Misri, unakabiliwa na janga kubwa la kibinadamu, ambapo jambo kuu kabisa ni njaa ya kiwango cha juu na uhaba…