Sheikh Al-Khatib (5)
-
Sheikh al-Khatib:
DuniaTaarifa ya mazungumzo ya Washington inafungua milango ya fitna ambayo adui ananuia kuizalisha
Hawza/ Makamu Mwenyekiti wa Baraza Kuu la Kiislamu la Mashia nchini Lebanon amesema: Kukubali kwa serekali ya Lebanon kupitia wanadiplomasia wake maudhui ya taarifa ya Washington na kukubali…
-
Makamu Mwenyekiti wa Baraza Kuu la Kiislamu la Mashia nchini Lebanon:
DuniaVita vya uchokozi vya Marekani na Israel dhidi ya Iran na Lebanon vimeshindwa
Hawza/ Sheikh Ali Al-Khatib alisisitizia misingi isiyobadilika ya msimamo kuhusu uchokozi wa Israel, ikiwemo kuondoka kikamilifu, kurejea kwa wakazi, kuanza upya ujenzi, kuachiwa huru kwa wafungwa…
-
DuniaKipi Kilijiri Katika Mazungumzo Kati ya Sheikh Al-Khatib na Papa Laon?
Hawza/ Makamu Mwenyekiti wa Baraza Kuu la Kiislamu la Waislamu wa Kishia wa Lebanon alisema katika mazungumzo yake na Papa: Utamaduni wetu wa kiroho umejengwa juu ya undugu wa kibinadamu; nasi…
-
DuniaOmbi la Sheikh Al-Khatib Kuielekea Serikali ya Lebanon
Hawza/ Makamu wa Rais wa Baraza Kuu la Kiislamu la Kishia nchini Lebanon amelaani vikali uvamizi wa mara kwa mara unaofanywa na Israel dhidi ya Lebanon.
-
DuniaSheikh Al-Khatib: Sisi Hatutajisalimisha
Hawza/ Makamu wa Rais wa Baraza Kuu la Kiislamu la Kishia nchini Lebanon alisema: Kudhalilisha sura ya dhehebu la Kishia nchini Lebanon ni njama dhidi ya Lebanon. Tulishika silaha kwa kuwa hakukuwa…