Hawza/ Waziri Mkuu wa Uhispania, Pedro Sánchez, ameutaka Umoja wa Ulaya kuchukua hatua za haraka za kusimamisha makubaliano yake ya ushirikiano na Israel kufuatia shambulio dhidi ya msafara wa…
Hawza/ Pedro Sánchez, Waziri Mkuu wa Uhispania, alitetea msimamo wa wazi wa nchi yake dhidi ya uhalifu wa Israel. Katika hotuba yake ya kupitia tathmini ya utendaji wa mwaka mzima, alisema: msimamo…
Hawza/ Wafanyakazi na wanafunzi wa Hispania walifanya maandamano makubwa ya kuiunga mkono Palestina tarehe 15 Oktoba, ambapo takriban maelfu ya watu walishiriki kutoka sehemu mbalimbali za Hispania.
Hawza/ Bwana Sánchez katika hotuba yake ya hivi karibuni, sambamba na kutangaza mipango yake ya baadaye kwa ajili ya nchi ya Uhispania, pia alitangaza kuwa nchi hii inalaani jinai zinazofanywa…