Msikiti wa Jamkaran (5)
-
Nasir Abu Sharif katika Msikiti wa Jamkaran:
DuniaKwa siku 44 hakuna maji, chakula wala dawa vilivyoingia Ghaza / Wanazuoni katika ulimwengu wa Kiislamu wako wapi?
Mwakilishi wa Harakati ya Jihad ya Kiislamu ya Palestina alisema: “Kwa kipindi cha miezi 18 tumeshuhudia dhulma, mauaji ya halaiki, mauaji ya watoto, njaa na kiu huko Gaza. Kwa siku 44 hakuna…
-
DiniNi wakati gani kiongozi wa mapinduzi ya Iran anaenda kufanya ziara katika Msikiti wa Jamkaran?
Wakati njia zote zinapofungwa, Kiongozi wa Mapinduzi huenda wapi? Shahidi Sayyid Hassan Nasrallah anasimulia kuwa: Katika nyakati ngumu mno, sehem peke ya kiiimani kwa Kiongozi huyo ni Jamkaran,…
-
HawzaUjumbe wa Ayatollah Subhani kuhusu maadhimisho ya Kumbukizi ya Ujenzi wa Msikiti wa Jamkaran
Ayatollah Subhani alitoa jumbe tofauti katika kuadhimisha miaka 1073 tangia ujenzi wa Msikiti mtukufu wa Jamkarani kwa amri ya Imaam wa zama (aj).
-
HawzaUjumbe wa Ayatollah Makarem Shirazi kuhusu maadhimisho ya miaka 1073 ya ujenzi wa Msikiti wa Jamkaran
Ayatollah Makarem Shirazi alitoa jumbe tofauti katika kuadhimisha miaka 1073 tangia ujenzi wa Msikiti Mtakatifu wa Jamkaran kwa amri ya Imam wa zama (aj).
-
HawzaUjumbe wa Ayatollah Nouri Hamedani kuhusu maadhimisho ya ujenzi wa Msikiti wa Jamkaran
Ayatollah Nouri Hamedani alitoa ujumbe maalum katika kuadhimisha miaka 1073 tangia ujenzi wa Msikiti Mtukufu wa Jamkaran kwa amri ya Imam wa zama (a.f).