Hawza/ Msimamizi wa Haram Tukufu ya Msikiti wa Jamkaran ametangaza kwamba: Nyumba Tukufu ya Kiongozi na Ofisi ya Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi ya Kiislamu imesisitiza kuwa Imam Shahidi aswaliwe…
Hawza/ Hujjatul-Islam wal-Muslimin Ajāq-Nezhād, huku akisisitiza juu ya nafasi ya uwepo wa watu kwenye kuelewa vurugu na njama za hivi karibuni za maadui, alisema: wananchi wa Iran kutikana na…