Hawza / Ayatollah Sayyid Abdullah Ghuraifi, mmoja wa maulamaa mashuhuri wa Bahrain, amesisitiza kuwa ujumbe wa Ashura ni kukataa ufisadi, dhulma, uovu, upotovu, batili na utumwa.
Hawza, maulamaa mashuhuri wa Bahrain wamekemea vikali jinai ya kibaguzi na kikabila ya mauaji yanayoendelea kufanywa na utawala wa Kizayuni dhidi ya wananchi wasio na ulinzi wa Palestina.