Katibu Mkuu wa Hezbullah ya Lebanon (4)
-
Sheikh Naim Qasim:
DuniaTunajivunia kwamba tulimfanya Imam Khomeini kuwa mfano wa maisha yetu na tukaunga mkono uthabiti na haki
Hawza/ Sheikh Naim Qasim, Katibu Mkuu wa Hizbullah, katika taarifa iliyotolewa kufuatia kumbukumbu ya mwaka wa kufariki kwa Imam Khomeini, alisisitiza kwamba; Mapinduzi ya Iran yalianza kutoka…
-
Ayatullah A‘rafi katika ujumbe wake kwa Katibu Mkuu wa Hizbullah ya Lebanon:
DuniaUmoja wa mhimili wa muqawama na mshikamano wa vikosi vyake katika nyanja mbalimbali, leo umegeuka kuwa ukweli thabiti/ Taifa kubwa la Lebanon limetoa mfano wa kipekee wa ustahimilivu na uimara duniani.
Hawza/ Umoja wa mhimili wa muqawama na mshikamano wa vikosi vyake katika nyanja mbalimbali, leo umegeuka kuwa ukweli thabiti unaosimama juu ya irada yenye utambuzi na uongozi wenye hekima, na…
-
Katibu Mkuu wa Hezbullah ya Lebanon:
DuniaUmoja wa Kitaifa Unawavunja Moyo Maadui, Ni Marufuku Mazungumzo Wakati wa Vita
Hawza/ Katibu Mkuu wa Hizbullah ya Lebanon, amesema: "Kuleta mswada wa mazungumzo na adui wa Israel wakati wa vita, kunamaanisha kukubali kusalimu amri na kuinyang'anya Lebanon uwezo wake wote;…
-
Katibu Mkuu wa Hezbullah ya Lebanon:
DuniaUvamizi wa Palestina ni dhulma kubwa zaidi ya kihistoria dhidi ya watu wa Palestina/ Tuko tayari kwa makabiliano ya muda mrefu
Hawza/ Katibu Mkuu wa Hezbullah ya Lebanon alisema kuwa; msimamo wa Imam Khomeini (rehma za Mwenyezi Mungu ziwe juu yake) kuhusu Palestina ulikuwa hatua ya kihistoria ya mabadiliko, na kwamba…