Hawzah/ Hujjatul-Islam wal-Muslimin Zamani, katika hafla ya uzinduzi wa vitabu "Fiqhul-Hukūmah na Fiqhul-Mujtama‘ al-Urūbī", alisema: “Uislamu ndio dini pekee duniani yenye uwezo wa kujibu mahitaji…
Hujjatul Islam wal Muslimin Zamani, ameelezea ushindi wa mapinduzi ya kiislamu kama hatua muhimu katika historia ya uislamu na kusema kuwa: Mapinduzi hayo yametimiza ndoto ya serikali ya kidini…