Hispania (7)
-
Balozi wa Hispania katika kikao na Balozi wa Qur’ani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran:
DuniaKuumbwa kwa sanaa za kuvutia katika karne nyingi kunaonesha roho kubwa na ya kupenda amani ya Wairani
Hawza/ Sanchez amesema kuwa; Iran ni nchi yenye ustaarabu na historia ya kale ambayo ilivamiwa kwa namna ya fedheha, na akasema: “Wairani katika kipindi cha karne nyingi wamekuwa waumbaji wa…
-
DuniaUsiku ambao ubinadamu na michezo viliungana
Hawza/ Timu ya soka ya Rayo Vallecano ya Hispania iliweka wakfu ushindi wake wenye thamani katika usiku wa kufuzu kwenda fainali ya Ligi ya Europa kwa wananchi wanaoteseka wa Palestina.
-
DuniaUhispania yataka kusimamishwa ushirikiano wote kati ya Israel na Ulaya baada ya shambulio dhidi ya meli za Samud
Hawza/ Waziri Mkuu wa Uhispania, Pedro Sánchez, ameutaka Umoja wa Ulaya kuchukua hatua za haraka za kusimamisha makubaliano yake ya ushirikiano na Israel kufuatia shambulio dhidi ya msafara wa…
-
DuniaUhispania yataka Umoja wa Ulaya kutumia nyenzo za shinikizo dhidi ya utawala wa Kizayuni
Hawza/ José Manuel Albares, Waziri wa Mambo ya Nje wa Spain, katika hotuba yake kuhusu kuendelea mgogoro wa kibinadamu huko Ghaza na kuendelea kwa ujenzi wa makazi ya walowezi wa utawala wa Israel…
-
DuniaUhispania yaionya Israel kuhusu kuzilenga meli zinazobeba misaada kwa ajili ya watu wa Ghaza
Hawza/ Waziri wa Mambo ya Nje wa Uhispania, José Manuel Albares, katika tamko lake la hivi karibuni aliionya Israel kuwa shambulio lolote dhidi ya meli Samoud Fololita ambayo inabeba misaada…
-
DuniaUhispania yachukua kwa Hatua Kubwa ajili ya Kuuwekea Vikwazo Utawala wa Kizayuni
Hawza/ Bwana Sánchez katika hotuba yake ya hivi karibuni, sambamba na kutangaza mipango yake ya baadaye kwa ajili ya nchi ya Uhispania, pia alitangaza kuwa nchi hii inalaani jinai zinazofanywa…
-
DuniaSerikali ya Uhispania yatangaza kufutwa marufuku iliyolenga mikusanyiko ya kidini
Hawza/ Serikali ya Uhispania imemjulisha Meya wa mji wa Jumilla kuwa marufuku iliyolenga mikusanyiko ya kidini na kitamaduni kwenye viwanja vya michezo, iliyokuwa ikitekelezwa hapo awali, imeondolewa…