Gustavo Petro (5)
-
Rais wa Kolombia:
DuniaTunataraji kushuhudia uundwaji wa taifa la Palestina
Hawza/ Rais wa Kolombia amepongeza makubaliano kati ya Israel na Hamas kuhusu awamu ya kwanza ya mpango wa amani katika Ukanda wa Ghaza, akieleza matumaini yake kwamba usitishaji huu wa mapigano…
-
Msimamo Mkali wa Colombia dhidi ya Israel:
DuniaMabalozi wa Israel waamriwa kuondoka nchini
Hawza/ Gustavo Petro, Rais wa Colombia, akijibu hatua ya utawala wa Kizayuni ya kukamata meli ya “Flotilla ya Kimataifa – Sumud” na kuwakamata wanaharakati waliokuwemo, ametoa amri ya kuondolewa…
-
DuniaMarekani Yamfutia Viza Rais wa Colombia
Hawza / Marekani, baada ya hotuba ya Rais wa Colombia, Gustavo Petro, ya kuunga mkono Palestina, imemfutia viza ya kuingia Marekani.
-
DuniaMsimamo wa Rais wa Kolombia katika Umoja wa Mataifa dhidi ya Trump
Hawzah/ Rais wa Kolombia, Gustavo Petro, katika hotuba yake kwenye Mkutano Mkuu wa Umoja wa Mataifa, aliikosoa vikali serikali ya Donald Trump na kuieleza kuwa ni ya “kidikteta.”
-
DuniaUlinganisho wa Kuvutia uliofanywa na Rais wa Colombia kati ya Wapalestina na Nabii Issa (amani iwe juu yake)
Rais wa Colombia, Gustavo Petro, katika hotuba yake siku ya Ijumaa, alilinganisha hali ya mateso wanayo ipotia Wapalestina na simulizi ya maisha ya Nabii Issa Masih (amani iwe juu yake).