Hawza/ Dkt. Muhammad Tahir al-Qadri, katika hotuba yake huku akisisitiza mafundisho ya Mtume (saw), alisema kwamba: Kushikamana na Qur'ani na Ahlul-Bayt (as) ni dhamana ya uongofu na kinga kwa…
Dkt. Muhammad Tahir al-Qadri, katika hotuba yake aliyoitoa kutokana na mnasaba wa kumbukumbu ya shahada ya Imam Ali (a.s), alielezea tukio hili kuwa ni janga kubwa katika historia ya Uislamu.