-
DuniaKwa Nini Swala ya Maiti ya Imam Shahidi Haikuongozwa na Ayatullah al-Udhma Nouri Hamadani?
Hawza/ Ofisi ya Ayatullah al-Udhma Nouri Hamedani imetoa ufafanuzi kuhusu sababu za kutokuwepo kwa Marjii huyo wa Taqlid katika hafla ya mazishi na kuuaga mwili mtukufu wa Imam Shahidi.
-
DuniaMwili Mtukufu wa Kiongozi Shahidi wa Mapinduzi Wapumzishwa Katika Riwaq ya Dar al-Dhikr ya Haram Tukufu ya Imam Ridha (as)
Hawza/ Mwili mtukufu wa Kiongozi Shahidi wa Mapinduzi pamoja na miili ya familia yake mashahidi, baada ya kufanyika kwa ibada ya mazishi, maandamano ya kuuaga na kuswaliwa Swala ya Maiti, umepumzishwa…
-
DuniaNairobi Yaungana na Iran Kumuenzi Kiongozi Shahidi; Mamia Wajitokeza Katika Hafla ya Kumbukumbu
Hawza/ Mamia ya waombolezaji nchini Kenya walikusanyika siku ya Jumatano tarehe 8 katika Kituo cha Utamaduni cha Jamhuri ya Kiislamu ya Iran jijini Nairobi, kushiriki hafla maalumu ya kumuenzi…
-
VideoEwe Trump! Kuanzia Sasa Utaanza Kuogopa Hadi Kivuli Chako Mwenyewe
Hawza/ Kwa mnasaba wa kaulimbiu ya kudai kisasi iliyopazwa na wananchi katika hafla ya mazishi ya Shahidi wa Iran, filamu mpya ya uhuishaji ya mtindo wa Lego imechapishwa.
-
HawzaAyatullah A'rafi Apongeza Tukio la Kihistoria la Mazishi ya Mwili Mtukufu wa Imam Shahidi Nchini Iraq
Yaliyotokea nchini Iraq na katika miji ya Najaf na Karbala wakati wa kuusindikiza mwili mtukufu wa Kiongozi Shahidi na Kiongozi wa Umma, Imam Khamenei (ra), yanaonesha kina cha imani, ikhlasi,…
-
DuniaWakati Kukosa Adabu na Jeuri Vinapokuwa Ngome ya Mwisho ya Mwanasiasa wa Marekani Aliyeshindwa
Hawza/ Kushuhudia umoja wa kipekee wa watu wa Iran katika kumsindikiza Imam Shahidi wao kulisababisha mshtuko mkubwa kwa maadui wa taifa hili, kiasi kwamba Trump asiyeheshimu ahadi alijikuta…
-
VideoVideo | Taswira ya Kipekee Kutoka Angani ya Mazishi ya Mwili Mtukufu wa Kiongozi Shahidi wa Mapinduzi ndani ya Mashhad Tukufu
Taswira ya kipekee iliyorekodiwa kutoka angani inaonesha umati mkubwa wa waombolezaji ulioshiriki katika mazishi ya mwili mtukufu wa Kiongozi Shahidi wa Mapinduzi ya Kiislamu yaliyofanyika katika…