-
DuniaUjumbe Muhimu wa Ayatullah A'rafi kuwaelekea Wabebaji Ujumbe wa Dini/ Asisitiza Kufafanua Umuhimu wa Matumizi Bora na Kuepuka Ubadhirifu
Hawza/ Mkurugenzi wa Hawza nchini Iran, ameeleza kuwa; kueneza na kuimarisha utamaduni wa “usimamizi bora wa rasilimali” na “matumizi yenye uwajibikaji” ni miongoni mwa vielelezo muhimu vya jihadi…
-
DuniaKigali Yaomboleza Ashura kwa Huzuni Kubwa ; Mamia ya Waumini Wakusanyika Kumuenzi Imam Hussein (as) + Picha
Hawza/ Mamia ya waumini wa Ahlul-Bayt (as) nchini Rwanda wamekusanyika kwa wingi jijini Kigali kushiriki Majlisi kubwa ya maombolezo ya Siku ya Ashura 1448 H/2026, kwa lengo la kuhuisha kumbukumbu…
-
Raisi wa Baraza la Wanazuoni wa Imamiyya Bangladesh:
DuniaKarbala ni alama ya milele ya mapambano kati ya haki na batili na ya kusimama kwa mnyonge dhidi ya dhalimu
Hawza/ Hujjatul-Islam Sayyid Ibrahim Khalil Rizvi amesema katika hotuba yake kuwa: Harakati ya Imam Hussein (as) ni alama ya milele ya mapambano kati ya haki na batili, na imewafundisha Waislamu…
-
DuniaSheikh Mkuu wa TIC Aongoza na Kushiriki Matembezi ya Amani ya Ashura Temeke; Ujumbe wa Umoja na Haki Watolewa + Picha
Hawza/ Sheikh Mkuu wa Jumuiya ya Shia Tanzania (TIC) na Kiongozi Mkuu wa Hawza ya Imam Swadiq (as), Maulana Sheikh Hemed Jalala Mwakindenge, ameshiriki katika Matembezi ya Amani ya kumbukizi…
-
DuniaBujumbura Yaungana Kumuenzi Imam Hussein (as); Waumini Wafurika Majlisi ya Ashura Nchini Burundi + Picha
Hawza/ Waumini wa Ahlul-Bayt (as) nchini Burundi wamekusanyika kwa wingi katika mji mkuu wa Bujumbura kushiriki kikao kikubwa cha maombolezo ya Siku ya Ashura 1448 Hijria (2026), kwa lengo la…
-
Imam wa Swala ya Ijumaa wa Baghdad:
DuniaAshura ni Mradi wa Kudumu wa Mageuzi
Hawza/ Ayatullah Sayyid Yasin Mousawi, Imam wa Swala ya Ijumaa wa Baghdad, amesema kuwa; Ashura si tukio la kihistoria tu, bali ni "mradi wa kudumu wa mageuzi", na akasisitiza kwamba kupigania…