-
DuniaNaibu Mudiri wa Hawza ya Imam Swadiq (as) Aongoza Zoezi la Uchangiaji Damu Jijini Dar es Salaam
Hawza/ Katika kuhuisha ujumbe wa kujitolea, kujisadikisha na kuihudumia jamii unaofundishwa na harakati za Imam Hussein (as), Mkurugenzi Msaidizi wa Hawza ya Imam Swadiq (as), Sheikh Muhammad…
-
DuniaMajlisi za Imam Hussein (as) Zaendelea Kuadhimishwa kwa Hamasa Kubwa Mjini Moshi, Tanzania
Hawza/ Katika mwendelezo wa maadhimisho ya mwezi wa Muharram na kumbukumbu ya shahada ya Imam Hussein (as), majlisi za maombolezo zimeendelea kufanyika kwa hamasa kubwa katika mji wa Moshi, nchini…
-
DuniaMajlisi za Maombolezo ya Imam Hussein (as) za Kinamama Zaendelea Nchini Tanzania + Picha
Hawza/ Katika siku za maombolezo ya mwezi wa Muharram, zinazokumbusha tukio la kusikitisha la kuuawa kwa njia ya dhuluma Imam Hussein (as) na wafuasi wake katika ardhi ya Karbala, wanawake waumini…
-
DuniaMajlisi za Maombolezo ya Imam Hussein (as) Zaendelea kwa Huzuni Kubwa Jijini Arusha, Tanzania
Hawza/ Katika hali ya huzuni, majonzi na kumbukumbu zenye kuumiza nyoyo za waumini wa Ahlul-Bayt (as), Kituo cha Ahlul-Bayt jijini Arusha kimeendelea kuandaa majlisi za maombolezo ya msiba wa…
-
DuniaMajlisi ya Maombolezo ya Imam Hussein (as) Yafanyika Nchini Malawi Katika Mwezi Mtukufu wa Muharram
Hawza/ Katika mwendelezo wa maadhimisho ya mwezi mtukufu wa Muharram katika bara la Afrika, waumini nchini Malawi wameendelea kuhuisha kumbukumbu ya tukio la kusikitisha la Karbala kupitia majlisi…