Hawza/ Muqtada Sadr, kiongozi wa Harakati ya Kitaifa ya Kishia nchini Iraq, ametangaza kuwa: Vikosi vya “Saraya al-Salam” vitajitenga na Harakati ya Sadr na wanachama wake watajiunga na serikali.
Hawza/ Sayyid Moqtada Sadr, kiongozi wa Harakati ya Kitaifa ya Kishia nchini Iraq, amesisitiza kwamba kitendo cha kuchomwa Qur’ani Tukufu kilichofanywa na mgombea ubunge wa Marekani ni uhalifu…