Hawza/ Sayyid Moqtada Sadr, kiongozi wa Harakati ya Kitaifa ya Kishia nchini Iraq, amesisitiza kwamba kitendo cha kuchomwa Qur’ani Tukufu kilichofanywa na mgombea ubunge wa Marekani ni uhalifu…
Hawza/ Kiongozi wa harakati ya Sadr amemtembelea Ayatollah Abdullah Jawadi Amoli sehemu aliyo fikia huko mjini Najaf al-Ashraf na kufanya naye mazungumzo.